Champ, mimi nimejaribu kufuatilia maroli ya kusafirisha mizigo kutoka Dar to Mwanza sijafanikiwa ombi langu ni unipe msaada wa uhitaji huo kama unafahamu walipo nambari zao na gharama pia.
Ni muda sasa umepita na watu wengi wamekuwa wakichangia mijadala na kutoa Thread mbalimbali kuhusu mawazo ya biashara, na muongozo wa uendeshaji wa biashara ni muda rasmi kila mmoja alifanikiwa kupitia wazo la biashara kutoka Jukwaa hili la biashara kutoa ushuhuda wa wazo na namna alivyofanya...
Elimu bora upimwa baada ya mwanafunzi kuhitimu alichosomea. Mazingira ya mtaani yanaonyesha uhalisia wa product za vyuo vikuu.
Nowadays the jobs have evolved so much, that the jobs today may not exist or may be automated.
So preparing them for a overall development and problem solving and...
Ukikoswa kujitambua kwenye maisha unatapatapa na utatapatapishwa, uwezi kuwa na ajira na pesa na kutafuta mwanamke wa ndoa social media, watu bora ni adimu kizazi hiki jasiri cha uovu kilichokoswa mema na ndio maana kinajiweka wazi kufahamisha umma ni chema, wema ambao hakina.
Ukiona mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.