Well, jana kulikuwa na tukio ambalo si maarufu sana kwako wewe ambaye si mpenzi sana wa muziki wa country. Tukio lenyewe lajulikana kama 2026 Academy of Country Music na lilikuwa na MC mpya kabisa mwaka huu, huyu tunamjua wengi, maana enzi hizo wakongwe tupo shule za upili, nani ambaye hakuijua...