Recent content by Obe

  1. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Imetangazwa tume ya rais ya kuchunguza jinai, rais anapambana kweli kweli kutaka kurejesha picha nzuri aliyoichafua kwa kutotaka kutoa nafasi sawa wakati wa uchaguzi. Hapa ni kama kuvaa suti mpya ya bei ghali na ukaamua kusimama jalalani. Kama inaundwa tume ya kijinai, je tutegemee tume...
  2. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Well, jana kulikuwa na tukio ambalo si maarufu sana kwako wewe ambaye si mpenzi sana wa muziki wa country. Tukio lenyewe lajulikana kama 2026 Academy of Country Music na lilikuwa na MC mpya kabisa mwaka huu, huyu tunamjua wengi, maana enzi hizo wakongwe tupo shule za upili, nani ambaye hakuijua...
  3. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Uzuri wa jukwaa hili, Makapuku, kuwe kumechangamka au kumepoa, bado unapoingia unapata utulivu fulani hivi wenye kumaanisha utakuwa na wiki njema. Na ndicho ninachotaka kukutakia wakati huu, wiki njema, na tayari tushaigawa kati Mei.
  4. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Asante sana mdau kwa salaam. Nakusalamia sana pia
  5. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Heko kwa Wamama wote mlioko humu ndani. Happy mother's day wanajukwaa.
  6. Obe

    JamiiForums Tanzania Tafakuri ya Pascal Mayala Kuhusu Uhuru wa Vyombo Vya Habari, Ripoti ya Jaji Chande | Nijuze Podcast

    Asante sana Pascal Mayalla kwa hii podcast. Suala la watawala kutopenda kukosolewa umeliweka vema sana tangu issue ya Ben Saanane na Azory Gwanda. Ni makala nzuri kusikiliza na hasa gharama wanazoingia waandishi wa habari na wachambuzi binafsi wa masuala yanayoendelea nchini.
  7. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    “..... the opposite is also true. Today is Friday—make it an easy weekend, mdau hapa wikend ni mwendo wa kurahisisha mambo. Mke mwema anatoka kwa Mungu, naye atakupa wa kufanana naye.
  8. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    ...kama hujui unakokwenda, hukosei njia. Hivi hivi vinywaa ambavo mchana vinasifu, kuabudu na usiku vinanyonya na kunyonyana. Kuzeeka hakukufanyi kuwa smart, kinafanya watu wakujue ujana wako ulikuwaje
  9. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Ebhaneeeee, upo mitaa hiyo mdau. Hapo jirani na usalama nakuwepo sana. Nitakuibukia one time, tugonge vinywaji vya punguzo
  10. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Hukuwahi Kuniita Kwa Jina Langu Harakati za kukimbilia mapenzi zilinifikisha mbali sana, ndugu yenu nikatoka Mtwara hadi Dom, hapo nikakaa ila Moro ikanivutia sababu kulikuwa na muziki wa zamani unaopendwa na vijana. Ndugu yenu kijana mwenye mambo ya kizee na kwa sasa ujana unanikimbia, mvi...
  11. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Ukinunua kwa mtu binafsi unaweza kupata kwa bei ya chini kidogo ila mnadani watu wanajirusha na Tsh 2700, ni mwendo wa kulewa hadi unatamani kwenda ukweni na kumchapa makofi mama mkwe.
  12. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    ....duh, kumbe njia moja hiyo, basi usiache kumpa salamu zangu pia
  13. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    ....asante kwa salm mdau, hapa Ntwara kuchele kabisa. Mbwa wamekataa mbaazi wanataka makopa ya kupikwa. Uko vizuri hapo Dasilamu?
  14. Obe

    JamiiForums Tanzania WanaJF wenye Access na DW Radio,msikose kusikiliza DW Radio leo Saa 12:00 Jioni,kuna uchambuzi Kamambe wa Ripoti ya Tume ya Jaji Chande!,Usikose!

    Mnachambua report au muhtasari wa report!1? Maana mwennye report alisema ni ya kwake na asiombwe. Huyo au hao wachambuzi mahiri wanachambua kitu gani?! Ni ujinga wa kisomi kuchambua muhtasri na sio taarifa kamili
  15. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Salam zimefika na ninazirudisha kwa uzito huo huo mdau. Juma la mwisho la April, tulimalize kwa furaha
Back
Top Bottom