Recent content by Obe

  1. Obe

    JamiiForums Tanzania Tazama majeraha ya risasi kwa Lissu; Mtanzania yeyote mwenye akili timamu anawezaje kuwakumbatia wanaofanya ukatili huu dhidi ya mwanadamu mwenzao?

    Neno linalosummate yote uliyoandika hapa, wewe ni muovu. A spineless sadist, ambaye kwako, maumivu ya mtu mwingine ndiyo furaha yako. Uko muoga na unajificha kwenye maguvu ya watawala. Akili ya TAL haijateteleka pamoja na yaliyompata ukilinganisha na yako ambayo hata asiye na utaalamu wa...
  2. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Happy Father's day wadau wote tunaoitwa baba, kwa kupenda au kusingiziwa, tukiwa karibu au mbali na bado tunahakikisha kila kitu kinaenda sawa.
  3. Obe

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    Ngoja nilisikilize, lakini unajua veterani mimi bila gitaa, goma halinogi. Nimekua enzi za kina Gangwe Mob na Majitu 'pirimitivu' na kina Necha, nyimbo lazima isifie wali na pilau
  4. Obe

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    Hili linataka utulivu sana, ni kama uko na mawazo linakupa vibe ya kusimama na kuendelea. Hapo bass umeitoa 60Hz hadi 100Hz na treble umeipandisha ili ulisikie gitaa la solo likichagiza bass. Hapo sunishine utaiona hata machweo
  5. Obe

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    ...goma hili, uko kwenye utulivu na kichwani umebeba bia tatu na shots nne za don julio. ...don't ask me why, bla ha blah natural ...
  6. Obe

    JamiiForums Tanzania Ayoub Rioba wa TBC Baada ya Kuchukua Mamilioni ya Kustaafu Sasa Arudi Na Ziara ya URUSI!

    ....atakuwa ni mbuzi jike anatishia beberu
  7. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    https://www.youtube.com/watch?v=jXzNA-4UwOs&list=RDjXzNA-4UwOs&start_radio=1
  8. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    ... hahahahahaha, labda mambo ya maridhiano, mimi natumia mtandao wa shemeji zangu hapa Msumbiji, naperuzi tu.
  9. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Ha hahahah moudgulf sikukuu imemkuta vizuri, Arsenal kabeba ubingwa na kuna mbuzi za sokoni zimepotea, cha kuokota si cha kuiba, kachinja. Mishkaki ipo, beer zimeisha. Salama kwako kaka?
  10. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Eid Mubarak wanajukwaa. Yeah, sikukuu ya kuchenja, mkesha umeanza jana na leo tunamaliza. Ndiyo sikukuu pekee ambayo si Bakwata wala Chimumuna wa hapa Mtwara tunakubaliana bila kuangaliana kwa jicho la tenge. Binafsi, sijachinja ila najua kwa aliyechinja atanikaribisha maana nyama lazima...
  11. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Imetangazwa tume ya rais ya kuchunguza jinai, rais anapambana kweli kweli kutaka kurejesha picha nzuri aliyoichafua kwa kutotaka kutoa nafasi sawa wakati wa uchaguzi. Hapa ni kama kuvaa suti mpya ya bei ghali na ukaamua kusimama jalalani. Kama inaundwa tume ya kijinai, je tutegemee tume...
  12. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Well, jana kulikuwa na tukio ambalo si maarufu sana kwako wewe ambaye si mpenzi sana wa muziki wa country. Tukio lenyewe lajulikana kama 2026 Academy of Country Music na lilikuwa na MC mpya kabisa mwaka huu, huyu tunamjua wengi, maana enzi hizo wakongwe tupo shule za upili, nani ambaye hakuijua...
  13. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Uzuri wa jukwaa hili, Makapuku, kuwe kumechangamka au kumepoa, bado unapoingia unapata utulivu fulani hivi wenye kumaanisha utakuwa na wiki njema. Na ndicho ninachotaka kukutakia wakati huu, wiki njema, na tayari tushaigawa kati Mei.
  14. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Asante sana mdau kwa salaam. Nakusalamia sana pia
  15. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Heko kwa Wamama wote mlioko humu ndani. Happy mother's day wanajukwaa.
Back
Top Bottom