Recent content by Obe

  1. Obe

    Makapuku Forum

    Eid Mubarak wadau wote wa jukwaa hili. Wote tuliomaliza salama funga zetu basi na tulipwe sawia. Na wote watu wema tulipwe kama inavyostahili. Mtakie kheri kila unayekutana naye, na kwa mtu wako nyumbani, mkumbatie ajue wewe ni mtu sahihi
  2. Obe

    Makapuku Forum

    Mwezi ukionekana tuambiane wadau.
  3. Obe

    Makapuku Forum

    Heri ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani. Wanawake wote mlio ndani humu, ninyi ni sababu jukwaa hili halipoi. Give to Gain ndo theme ya mwaka huu
  4. Obe

    Makapuku Forum

    Asante sana Shunie kwa kuileta humu hii habari. Kilichofanyika inadhaniwa kinaweza kuathiri kombe la dunia kuchezwa Mexico. Tusubiri
  5. Obe

    Makapuku Forum

    ...vipi akiwa hana furaha kwa sababu mshahara haumtoshi! anarudi nyumbani au anaongezewa mshahara!!
  6. Obe

    Income ipo, expenses za ofisi zipo chini yake lakini profit haiendani na juhudi

    ...hapo wewe inabidi ufanye sale, nunua kimoja pata kimoja bure(BOGO) Bei unaweka ya kununua bidhaa mbili kwa moja. Hapa utauza zaidi na ikibidi, nenda kanunue kwake
  7. Obe

    Makapuku Forum

    Happy and easy furahiday wadau. Mwezi wa wapendanao, tembea kama asiyeangaliwa na wakubwa
  8. Obe

    Income ipo, expenses za ofisi zipo chini yake lakini profit haiendani na juhudi

    ....shida inakuja kama plowback (ploughing back) inaenda kuinvest kwenye bidhaa hizo hizo zinazozidiwa na matumizi. Na pia strategy hii itamzuia kutafuta external financing. Hapa naungana na wale wanaosema kuhusu bei, ukinunua kwa jumla toka kwa msambazaji mkuu, itasaidia. Kumkaribisha mtu...
  9. Obe

    Prof. Tibaijuka: Nilipendekeza iundwe Tume ya Kijaji, ingepunguza kelele za ICC kuliko tume ya Rais matukio ya Oktoba 29, 2025

    Umesikiliza hoja zake au umeishia kueleza namna unavyomjua kama mwanaccm mwenzako!? Mauaji yaliyotokea, kufumbiwa macho ni kosa kubwa kwa taifa bila kujali unampenda sana Samia na kumchukia sana mama Tiba
  10. Obe

    Makapuku Forum

    Wewe tangu ubadili ndoo ya samaki kuwa samaki wa foil, nimeamua nisimuahidi korosho. Yeye aje hapa Ntwara apopoe, au akwee hamu zake ziishe. Na nyingine abebe maana Feb haichelewi kukatika
  11. Obe

    Makapuku Forum

    ...konda asiwe mang'aa tu akapotea nazo kama mwaka ule namtumia Shunie korosho afu konda wa basi la Wifi Naye (wanapaki Sudan) akayeya nazo, nusu debe. Nilisikitika sana. Au nikutumie wewe ili umfikishie na kifungashio cha ziada?
  12. Obe

    Makapuku Forum

    Aisee, hapo ukimwaga Valentine yote inanukia korosho. Umejipiga na unyunyu wa Kihabeshi. Korosho lazima uzifungashe vizuri ili zisimwagike
  13. Obe

    Makapuku Forum

    ...maisha yafaa nini bila kuona tabasamu lako!? Hapo umekenua kama unatangaza biashara ya colgate
  14. Obe

    Makapuku Forum

    ...address yake hajanitumia, mwambie anipe hata namba ya dereva au konda wa basi, atapata korosho hadi ashindwe kuamua azitumie kwa kazi gani, asage, ale mbichi au azipikie makande
Back
Top Bottom