Eid Mubarak wadau wote wa jukwaa hili.
Wote tuliomaliza salama funga zetu basi na tulipwe sawia. Na wote watu wema tulipwe kama inavyostahili.
Mtakie kheri kila unayekutana naye, na kwa mtu wako nyumbani, mkumbatie ajue wewe ni mtu sahihi
...hapo wewe inabidi ufanye sale, nunua kimoja pata kimoja bure(BOGO) Bei unaweka ya kununua bidhaa mbili kwa moja. Hapa utauza zaidi na ikibidi, nenda kanunue kwake
....shida inakuja kama plowback (ploughing back) inaenda kuinvest kwenye bidhaa hizo hizo zinazozidiwa na matumizi. Na pia strategy hii itamzuia kutafuta external financing.
Hapa naungana na wale wanaosema kuhusu bei, ukinunua kwa jumla toka kwa msambazaji mkuu, itasaidia.
Kumkaribisha mtu...
Umesikiliza hoja zake au umeishia kueleza namna unavyomjua kama mwanaccm mwenzako!? Mauaji yaliyotokea, kufumbiwa macho ni kosa kubwa kwa taifa bila kujali unampenda sana Samia na kumchukia sana mama Tiba
Wewe tangu ubadili ndoo ya samaki kuwa samaki wa foil, nimeamua nisimuahidi korosho. Yeye aje hapa Ntwara apopoe, au akwee hamu zake ziishe. Na nyingine abebe maana Feb haichelewi kukatika
...konda asiwe mang'aa tu akapotea nazo kama mwaka ule namtumia Shunie korosho afu konda wa basi la Wifi Naye (wanapaki Sudan) akayeya nazo, nusu debe. Nilisikitika sana.
Au nikutumie wewe ili umfikishie na kifungashio cha ziada?
...address yake hajanitumia, mwambie anipe hata namba ya dereva au konda wa basi, atapata korosho hadi ashindwe kuamua azitumie kwa kazi gani, asage, ale mbichi au azipikie makande
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.