Recent content by Obe

  1. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Anko, karibu sana
  2. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    ....na sasa ni 2.0 tunachanja tu kwa mwendo wa kukopa, kukopesha, kukopwa, na kukopeshana na tunajisahaulisha kulipa ili riba iongezeke. Vipi huko kileleni, baridi au ndo jua kali
  3. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Ni jambo zuri kukuona mdau.
  4. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    ...mimi wa kupotea unadhani!!! Nilisahau tu njia, nikajikuta nimepoteza simu na line ikauzwa na yule wakala anayetembea kabeba kispika kama cha adhana. Hapa nahangaika kurudisha namba yangu ile ile. Dadaako hajanitafuta maana hadi SLP langu analijua, kabanwa tu na utawala binafsi
  5. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Shunie asante kwa magazeti.
  6. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    ..kwa jamuhuri hii hii, nimepokea salamu kwa mikono miwili. Na ninakusalimia sana pia
  7. Obe

    JamiiForums Tanzania Tazama majeraha ya risasi kwa Lissu; Mtanzania yeyote mwenye akili timamu anawezaje kuwakumbatia wanaofanya ukatili huu dhidi ya mwanadamu mwenzao?

    Neno linalosummate yote uliyoandika hapa, wewe ni muovu. A spineless sadist, ambaye kwako, maumivu ya mtu mwingine ndiyo furaha yako. Uko muoga na unajificha kwenye maguvu ya watawala. Akili ya TAL haijateteleka pamoja na yaliyompata ukilinganisha na yako ambayo hata asiye na utaalamu wa...
  8. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Happy Father's day wadau wote tunaoitwa baba, kwa kupenda au kusingiziwa, tukiwa karibu au mbali na bado tunahakikisha kila kitu kinaenda sawa.
  9. Obe

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    Ngoja nilisikilize, lakini unajua veterani mimi bila gitaa, goma halinogi. Nimekua enzi za kina Gangwe Mob na Majitu 'pirimitivu' na kina Necha, nyimbo lazima isifie wali na pilau
  10. Obe

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    Hili linataka utulivu sana, ni kama uko na mawazo linakupa vibe ya kusimama na kuendelea. Hapo bass umeitoa 60Hz hadi 100Hz na treble umeipandisha ili ulisikie gitaa la solo likichagiza bass. Hapo sunishine utaiona hata machweo
  11. Obe

    JamiiForums Tanzania SCREENSHOTS: Wimbo gani unasikiliza sasa hivi?

    ...goma hili, uko kwenye utulivu na kichwani umebeba bia tatu na shots nne za don julio. ...don't ask me why, bla ha blah natural ...
  12. Obe

    JamiiForums Tanzania Ayoub Rioba wa TBC Baada ya Kuchukua Mamilioni ya Kustaafu Sasa Arudi Na Ziara ya URUSI!

    ....atakuwa ni mbuzi jike anatishia beberu
  13. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    https://www.youtube.com/watch?v=jXzNA-4UwOs&list=RDjXzNA-4UwOs&start_radio=1
  14. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    ... hahahahahaha, labda mambo ya maridhiano, mimi natumia mtandao wa shemeji zangu hapa Msumbiji, naperuzi tu.
  15. Obe

    JamiiForums Tanzania Makapuku Forum

    Ha hahahah moudgulf sikukuu imemkuta vizuri, Arsenal kabeba ubingwa na kuna mbuzi za sokoni zimepotea, cha kuokota si cha kuiba, kachinja. Mishkaki ipo, beer zimeisha. Salama kwako kaka?
Back
Top Bottom