...mimi wa kupotea unadhani!!! Nilisahau tu njia, nikajikuta nimepoteza simu na line ikauzwa na yule wakala anayetembea kabeba kispika kama cha adhana. Hapa nahangaika kurudisha namba yangu ile ile.
Dadaako hajanitafuta maana hadi SLP langu analijua, kabanwa tu na utawala binafsi