habari wana jf..poleni na majukumu ya kila siku na pilika pilika za hapa na pale katika maisha haya..mimi ni mgeni humu japo nmekua nikipitia pitia baadhi ya nyuzi uku ndani kwa muda kidgo..naomba kukaribishwa kama member wa umu ndani..kwa ajili ya kishare na kuombana ushauri kwenye mambo mbali...
bhana weee me nilkoseaa shimo hizi mambo za wazungu.. style flan iv nkamkunja si nkakosea njiaa duuu ilikuaa balaa ugomvi na mchezo uliishiaa palee ...niliongeanae waapi mtoto hakuelewa..na haikua maksudi na sio mchezo wangu huo kabsa..sema ajali tuu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.