Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
lakin ww ndio umesababisha nisilipe. Hujanipa namba ya kukutumia hyo ada.
mhhhhhhhhh pagumu hapo ngoja nikupe ya Excel
Last edited by a moderator:
lakin ww ndio umesababisha nisilipe. Hujanipa namba ya kukutumia hyo ada.
kwahyo unataka nmtumie Excel akiniuliza nisemeje? Mbona unataka aniltee mota hapa
hahahhaha we tuma afu usijibu chochote
hahahaha mkuu hilo neno KUDINYANA nilitumiaga zaman saana..umenikumbusha mbaalii saaana3. megwa,mega au megana, kudinyana