Peleka hoja LUMUMBA
Peleka hoja LUMUMBA
Naona unawashwawashwa uliwahi hata kutetea haki yake ya kupata matibabu? Kwani Mbunge aliyeko kwa jimbo lako kabadilisha nini ndani ya kipindi cha mwaka mmoja toka Lisu ameenda kutibiwa?
mama hongera sana kasimamie vizuri ilani yetu ya chama cha mapinduzi (CCM). Nina imani kuwa nia ya mh; Rais ni kuleta maendeleo sio vingnevyo itikadi na tofauti zingine tuweke pembeni Maana ujue wakuu wa mikoa ndio wasimamizi wakuu wa ilani ya chama chetu ngazi ya mkoa. Hivyo weka pemeni...
mimi sio mwanasheria lakini kwa mujibu wa rufaa iliokatwa na watetezi wa Lijualikali ni kwamba, hati ya mashtaka haikuwa sawa na kesi ya msingi iliokuwa ikiendelea sasa kama mtu unamshtaki kwa kosa X lakini maelezao unayotoa ni maelezo ya kisa Y sasa wewe na akili yako unaona kuwa jaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.