Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,737
- 18,921
Mkuu maswala ya mawakili wasomi sio ya kuyavalia njunga kujifanya unajua, kama ulikua haufahamu ni kwamba Jaji mahakamani nafasi yake ni ya "umpire" yani hafungamani na mtu yeyote yule wala kuegemea upande wowote ule kama vile referee alivyo uwanjani kwaio upande mmoja unasema hivi mwingine unasema vingine Jaji anaamua kutokana na hoja za mtu anaewasilisha kwa ushawishi mkubwa..kwa kipengele kama hicho ni grounds za technicality...kua mpole..