Rais Magufuli ashiriki ibada ya Pasaka, awataka watanzania wamuombee

Majighu2015

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
2,936
3,959
Rais John Magufuli leo ameshiriki ibada ya Pasaka katika kanisa la Mtakatifu Petro na kuwashukuru wakristo na waumini wa madhehebu mengine nchini kwa kuendelea kumuombea.

Pia Rais aliwaomba waumini hao waendelee na maombi hayo ili nchi iendelee kuwa na amani, umoja, mshikamano na watu wanaochapa kazi.

Mytake:
Tutamuombea akimtumbua Bashite na kuacha kuvituma vyombo vya usalama kuteka watu. Otherwise watu hatumuombei. Maombi hayawezi kufika kwa mtu anayeonea wananchi wake
 
Tumuombee nini?

Kama wasaidizi wa kila sekta anao!

Kama magari ya kumpeleka kanisani anayo!

Kama biblia nadhani humo ikulu zimejaa!

Kodi tunalipa,hatoi hela mfukoni!

Usalama wapo wanamlinda usiku na mchana!

Madaktari wapo tele!

Nia ya kufanya kazi alishatwambia anayo na kasema yeye ni msemakweli hivyo Mungu anampenda!

Katiba na sheria zipo ni kuzifuata tu,kama kuzifuata mpaka uombewe basi hilo ni tatizo jingine!

Kama kutimiza wajibu uliouomba mwenyewe na akatwambia kwamba anaweza,mpaka uombewe,basi kuna tatizo!


Mfalme Suleiman aliomba mwenyewe,kaongea na Mungu wake,kapewa hekima,sasa ni wakati wake amwite Mungu aliye hai,na amwombe atakacho atampa,kwa kuwa kila nafsi inajua hitaji lake,

Tumuombee nini? Aweke wazi
 
Tumuombee kwa lipi hasa ikiwa hataki kusikia lolote lile jema kuhusu nchi yetu kwa kujiona yeye ndiye yeye mpaka kufikia Kinana kumuanika hadharani!?

Rais John Magufuli leo ameshiriki ibada ya Pasaka katika kanisa la Mtakatifu Petro na kuwashukuru wakristo na waumini wa madhehebu mengine nchini kwa kuendelea kumuombea.

Pia Rais aliwaomba waumini hao waendelee na maombi hayo ili nchi iendelee kuwa na amani, umoja, mshikamano na watu wanaochapa kazi.

Mytake:
Tutamuombea akimtumbua Bashite na kuacha kuvituma vyombo vya usalama kuteka watu. Otherwise watu hatumuombei. Maombi hayawezi kufika kwa mtu anayeonea wananchi wake
 
Rais John Magufuli leo ameshiriki ibada ya Pasaka katika kanisa la Mtakatifu Petro na kuwashukuru wakristo na waumini wa madhehebu mengine nchini kwa kuendelea kumuombea.

Pia Rais aliwaomba waumini hao waendelee na maombi hayo ili nchi iendelee kuwa na amani, umoja, mshikamano na watu wanaochapa kazi.

Mytake:
Tutamuombea akimtumbua Bashite na kuacha kuvituma vyombo vya usalama kuteka watu. Otherwise watu hatumuombei. Maombi hayawezi kufika kwa mtu anayeonea wananchi wake
Nakuombea JPM udumu na ubarikiwe sana
 
Rais John Magufuli leo ameshiriki ibada ya Pasaka katika kanisa la Mtakatifu Petro na kuwashukuru wakristo na waumini wa madhehebu mengine nchini kwa kuendelea kumuombea.

Pia Rais aliwaomba waumini hao waendelee na maombi hayo ili nchi iendelee kuwa na amani, umoja, mshikamano na watu wanaochapa kazi.

Mytake:
Tutamuombea akimtumbua Bashite na kuacha kuvituma vyombo vya usalama kuteka watu. Otherwise watu hatumuombei. Maombi hayawezi kufika kwa mtu anayeonea wananchi wake

Duh kumbe anajua wanaendelea kumuombea!
Kwa hilo la Bashite nadhani wengi watakuwa wanakuombea pepo aliyekuingia atoke ili urudi kuwa kama yule wa wakati wa kuomba kura
 
Back
Top Bottom