Nchi ina madini ya kila aina,Rasilimali za kutosha,Ardhi kubwa,vivutio vya utalii,gesi n.k lakini bado havijaweza kutumika ipasavyo bado serikali unataka kukimbilia kukopa! Ni ujinga wa kiwango cha SGR
Magufuli hakuweka tozo ila makusanyo TRA yalikuwa juu na hata kukopa alikopa kwa strategy na miradi ikaonekana na akaipeleka Tanzania uchumi wa kati na ya tisa kiuchumi Afrika kwa sababu alitambua Tanzania ina rasilimali nyingi mno kama madini,vivutio vya utalii n.k vikitumika ipasavyo hakuna...
Ni jambo jema sana kwa kanisa na sinodi hii itasaidia sana imani na kuimarisha misingi ya mama kanisa kama mwili wa kristu.Kingine natamani sana Askofu Ruwaichi angepewa ukardinali maana utendaji wake ni wa hali ya juu na mnyenyekevu mno.Kama itampendeza Papa natamani kuona hivyo.
Alafu fikiria anakuja mpumbavu mmoja anaandika huu upuuzi wake! Umeme mgao,Maji mgao,Bei za bidhaa,Mafuta,Mbolea zimepanda maradufu alafu bila aibu mjinga mmoja anakuja na mashairi ya kusifia ujinga ujinga hapa! NONSENSE!
Kiukweli hata mimi nimewaza sana ni mwandishi wa aina gani anaweza kuandika simulizi iliyokamilika kiasi kile.Sijawahi kuona tamthilia iliyosukwa ikasukika kama GOT.zaidi sana haiishii kwenye video tu Bali mpaka kwenye vitabu vyake (song of ice and fire... e.t.c) Kwa uandikaji ule sishangai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.