Stamina anasema "...labda ukadeti na Yesu",hii siyo sawa!

Stamina anasema "...labda ukadeti na Yesu",hii siyo sawa!

Sasa yesu aliweza kufufua hadi watu halafu wewe ndugu yangu unamtetea kiumbe chenye uweza wake!,just muache yesu ajitetee si mwenyewe sisi tupambane na yakwetu.
Ni logic nyepesi tu usijisumbue na kondoo wenzako wakati alierushiwa bango ni mchungaji ambae anauwezo wa kila kitu.
true
 
Mkuu mtoto kuitwa Yesu siyo dhambi.

Dhambi ni hapo unaposema mtu akadeti na Yesu....
Mate,
Yesu ni jina tu kama majina mengine hakuna tofauti Kati ya Joshua,Yoshua na Yesu nk nikimaanisha kua yote ni majina aina moja hata kama stamina angesema kadeti na Joshua bado maana ingekua ileile ambapo kwa wasiofahamu wasingejua kama Yesu kazungumzwa humo.

Yesu ni jina tu na halina maajabu yoyote ndio maana hata ukilitaja kwa mapepo au majina jina Yesu wala hayashtuki maana wapo na walikuwepo watu wanaoitwa Yesu/Joshua wengi tu.
Lakini kama unataka mapepo yatii jina la mwana wa Mungu inabidi utaje Yesu Kristo, kuna Yesu wengi lakini Yesu Kristo ni mmoja pekee ukisema hivo hata majini wanaelewa umemtaja nani.

So kwa mantiki hii stamina hana makosa kabisa kwa hili, ila kama angetaja nenda kadate na Yesu Kristo basi angetuomba radhi kwa kufanya hivyo maana atakua kakosea ukristo. Stamina ni mkatoliki Natumaini anaelewa hichi nilichoeleza hapa that's why he was smart enough not to mention Jesus Christ, but just jesus as a name.
 
Sawa kbsa Kwan yesu s mtu pia Kwan hakua na nyege
Alikua ni Mungu mkamilifu na Mwanadamu mkamilifu pia hivyo hisia na masuala mengine ya kiuanadamu alikua nayo.

Je unajua nawe una U Mungu ndani yako lakini una hisia pia???
 
Kwa hiyo unataka kumtetea Yesu ambae baadhi ya madhehebu ya kikristo humwita kuwa ni Mungu?Kama amekejeliwa si umwache ajitetee mwenyewe?

Yaani wewe unataka kumtetea Mungu ambae inasemekana kuwa ana uwezo wote?Si umwache atumie uwezo wake kujitetea?
 
Kanye West, Lil Wyne, Rick Ross, mbona hua wanamshushia matusi mazito mazito, Mungu na Yesu...
 
Kuna yule mchezaji wa Manchester City naye sinaitwa Yesu.. nadhani hata Sevilla pia wanaye.
Sasa inategemeana na Jesus yupi wa Manchester City au Sevilla?
Hata Yanga wanaye Jesus Ducapel Moloco
 
Back
Top Bottom