Recent content by nyumbamungu

  1. N

    Mwenye uzoefu wa biashara ya kutengeneza Matofali ya ujenzi..

    Naomba Fundi / Mfanyabiasha mwenye uzoefu wa kutengeneza matofali ya ujenzi pamoja na pavement unipe ushauri wa hiyo biashara, mtaji wa kuanzia, maeneo lengwa pamoja na chagamoto zake Asanteni
  2. N

    Sayari 4 Kuonekana Mwezi huu, kuanzia leo January 10, 2025

    Baada ya kujipanga hizo Sayari ni nini kitatokea? yaani iwe tofauti na miaka iliyopita?
  3. N

    Anahitajika Mwalimu wa Video production & Editing, Graphic design & Motion Media

    Anahitajika Mwalimu wa muda " part-time" mwenye uzoefu Video production, Video graphic, Graphic design na Electronic media, mwanafunzi anaishi Dar es salaam, asanteni.
  4. N

    KWELI Mamba (Gustave) anakadiriwa kuua watu takribani 300 Ziwa Tangayika

    Kwani Kiboko na Mamba nani kiboko ya wote kwenye maji?
  5. N

    Natafuta POS ya kununua ya NMB na CRDB bank

    Tahadhari: Usinunue mashine kwa Wakala, fika benki jaza fomu uombe kumiliki ya kwako. Mashine utakayo nunua inasoma jina la mmiliki hivyo bado benki inamtambua ataweza kutoa pesa kwenye hiyo akaunti bila kukupa taarifa.
  6. N

    Kampuni ya Mati Super Brands yasaini mkataba na Bongo Records

    Kwahiyo tamasha litakalo kuwa linaandaliwa na Bongo Record ni tofauti na lile linalloandaliwa na Sugu aka Mr 2
  7. N

    Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali

    Kwahiyo gari lake litakuwa na nyota ngapi? Kwa wenye kufahamu utaratibu. ...
  8. N

    PreGE2025 Hii ndio Quur-Juwaan; kila aliyeshiriki kwenye jambo husika hata kwa pongezi adhabu inamsomba

    QUUR-JUWAAN . Nikimnukuu Magoma, Mwanachama wa Yanga aliyekwenda mahakamani kuishtaki Bodi ya wadhamini wa Dar Young African, aliulizwa haogopi Ju-Ju- Man akajibu hapo ndio wasijaribu, kwasababu atasoma Dua inayoitwa QUUR-JUWAAN ambayo itamkuta aliyetenda, aliyehadithia, aliyechangia hoja...
  9. N

    FCC, TCRA, Pitieni jina la Crown Fm linashabihiyana na Clouds Fm!

    Jana (Julai 01' 2024) ndio siku rasmi Crown Fm wameanza kutangaza baada ya kumaliza majaribio, na leo ( Julai 02' 2024) wamerusha kipindi cha michezo. Kwa mtazamo wangu naona jina la Crown Fm na Clouds Fm kama hautakuwa makini katika usikilizaji unaweza sikIa kama wametamka Clouds Fm, na hiyo...
  10. N

    Subjects. Minor

    Hapo 4G na 5G inaingia wapi?
Back
Top Bottom