Nahitaji Mawasiliano ya Mkuu wa Mkoa tafadhali mwenye mawasiliano yake
Kuna bwana mmoja nilifanya nae biashara ya 38Milion mpk leo tokea 2022 hajanilipa. Nahitaji kuonana na mkuu wa mkoa maana sipati msaada mahakamani wala polisi
Ushuru n hatari sana apo bandarini. Bado wanakumbatia sheria za kizamani kwenye utozaji wa kodi wakati Dunia imebadilika sana tokea Miaka ya Baba wa Taifa
Kidogo nahisi kuna maslahi unapata pale kama sio wewe moja kwa moja kuna ndugu au rafiki yako wa karibu ananufaika na uwepo wa kile kituo pale acha sheria na taratibu zifuatwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.