Mmmmmmmh........
Sarout Mkubwa,,,
Kwa Bonge la Story mpaka Nakumbuka Kuwapa Hi, JF ote Coz Na Miez mingi Nilitolokea game Mko njema lkn....?
JF Ote mpooo ama Kuna wengne Mshaitwa na Sir.God?????
Dah.. nimeipnda hii, alikutema ww ukamkaushia " yeye akajiona mbogo akaanza kukupakazia kumbe ana shda za kufa m2 ,,, HAPO KAJFUNZA MSAMEHE BURE ILA HII NIMEIPNDA NAONA KAMA NIMEFANYA MM VILE..
Kwakweli haya mambo kila m2 na lake, lakin xijawah kuxikia ME Akijitapa kuwa KAZAMA CHUMVIN, Ni kuambizana 2, mtawafanya mpaka wanaojua wahix hawajui, hizi thread hazitaixha maana kila atakaejua anaanzisha thread!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.