mwisho wa thread yake kahisi hao wapangaji wenzie wanamchukulia poa kwa kuhisi yeye ni dogo...ndo maana akasisitiza kwa kuweka mfano kuwa, 'kuna siku alikuwa kwenye gari na msichana, huyo msichana akakamatwa na trafic na ktk mazungumzo akaombwa rushwa, then akampa askari hela ndogo (hela ya soda) huyo askari akahitaji zaidi akimwambia huyo mdada kuwa amwambie yeye (mleta mada) aongeze hela, ndipo huyo dada akajibu akim-mention mleta mada kama 'dogo' kusisitiza hawezi kuwa na hela, na trafic akaona kuna logic (means alivyomwangalia mleta mada, akaona ni dogo kweli na hawezi kuwa na hela) so akawaacha waende! sasa seems ilimboa moyoni mleta mada...like..'mimi nina muonekano kama wa madogo!?'
umeelewa? hivi ndo nilivyoelewa mimi!