Wanawake kwanini wakatili hivi kwenye mapenzi?

Wanawake kwanini wakatili hivi kwenye mapenzi?

ukweli ni kuwa mie nina inferiority complex sababu back in days nlikuwa mchafu n sura hailipi so sikuweza kupata mahusiano. nmepata mpunga kwa kupipga michongo kitaa nkaanza kupendeza kwa kuvaa nguo za gharama n mtyz kibao. so nkipata mschana nawkuwa insecure na hivyo natumia pesa sana kumjali n inakula kwangu kama hivi

Nani alikwambia wanataka sura?
 
Kweli kijana una moyo ganzi,,,, 4m infront...... wengine hizo 4m na marafiki zake ushawagaragaza.....ujana maji ya moto hakika......
 
We unamjali wenzako wanakula mwali nani lijali?
 
ze keke

Uongo unahitaji akili sana wewe umebugi.
 
Last edited by a moderator:
Umejua sasa wapi ni expensive? Especially kwa wale mtongozo-challenged kama wewe apparently?
 
sio kila alie chuo anategemea boom
 
Bila shaka umeongeza sifuri mbili ili iwe million 4. Nafkiri ulitaka kumaanisha 40,000 au sio??
 
Ulijikanyaga mkuu lakini pole sana na hizo pesa ulizokua unamgharamia na yeye alikua anahonga kwa man mwingine
 
Unashangaa nini ww ndo uliyataka hayo!!! hapo hakuna ushauri pepo lilikukamata sasa limekuachia, kuwa makini achana na hayo mambo ni wastage of time. dont be in love as entertainment it's always cost and leaves men bunkrupt
 
Unashangaa nini ww ndo uliyataka hayo!!! hapo hakuna ushauri pepo lilikukamata sasa limekuachia, kuwa makini achana na hayo mambo ni wastage of time. dont be in love as entertainment it's always cost and leaves men bunkrupt

eh! kumbe ni pepo e
 
Back
Top Bottom