sasa ndugu yangu afghanistan kuna mafuta gani? tatizo umeshakuwa brain washed ili uamini wanavyo taka wao lakini kwa akili iliyo salimika haiwezi kuamini propaganda kama hizi. Ndio maana hata Rais wa venezuela hugo chavez alisema sept 11 iliratibiwa na wamerekani wenyewe ili waweze kunyonya haki...
sasa ndugu yangu afghanistan kuna mafuta gani? tatizo umeshakuwa brain washed ili uamini wanavyo taka wao lakini ukweli utabakia mpaka siku ya mwisho kwani kwa akili iliyo salimika haiwezi kuamini propaganda kama hizi kwani tunajua fika afghanistan ililkuwa ni nchi ya kiislamu na more than 90%...
Tatizo lako hufaamu hasa kiini cha vita ya uganda, wala septemba 11, kama lengo ni kumkamata Osama kwa nini raia wa afaghnistani wasio kuwa na kosa wauawe kwa ajili ya kumtafuta mtu mmoja kwani kuna wahalifu wangapi wakivita duniani hawatafutwi kwa kuuwa raia wa nchi husika kama rais wa...
So who cares!, tunachotaka wa TZ sio salamu za krismas wala Iddi wala Uhuru, bali tuna taka tuone maisha bora kwa kila MTZ, huduma nzuri za afya na kijamii mf: umeme,maji safi, elimu bora na mengineyo
So who cares!, tunachotaka wa TZ sio salamu za krismas wala Iddi wala Uhuru, bali tuna taka tuone maisha bora kwa kila MTZ, huduma nzuri za afya na kijamii mf: umeme,maji safi, elimu bora na mengineyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.