Wameiba Kura
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 390
- 3
Wana JF doctor nisaidieni kidogo, i am away from home for 7 months now, my GF
we meet thru phone, ila kuna hali inazidi kwangu kuanzia saa 10 usiku uume unasimama kweli unakuwa mrefuuuuu hadi 12 asubuhi, najigeuza geuza sometimes ule usingizi mtamu
nilouzoea nikiwa home unapotea, na wala siwazi sana ngono na nipo busy kwa masomo na physical exercises, pia hasira zinazidi mno sijui ni nyege zime accumulate au? yaani uume unajaa na kutoka mbele kama unashindana na mm vile hadi 12 asubuhi unatulia, nahisi nikirudi home nimemwambia GF akae mkao wa kuzuia magoli, naona yatatoboa nyavu, sijui atahimili mtoto wa watu, ni nini nifanye kabla sijarudi?
we meet thru phone, ila kuna hali inazidi kwangu kuanzia saa 10 usiku uume unasimama kweli unakuwa mrefuuuuu hadi 12 asubuhi, najigeuza geuza sometimes ule usingizi mtamu
nilouzoea nikiwa home unapotea, na wala siwazi sana ngono na nipo busy kwa masomo na physical exercises, pia hasira zinazidi mno sijui ni nyege zime accumulate au? yaani uume unajaa na kutoka mbele kama unashindana na mm vile hadi 12 asubuhi unatulia, nahisi nikirudi home nimemwambia GF akae mkao wa kuzuia magoli, naona yatatoboa nyavu, sijui atahimili mtoto wa watu, ni nini nifanye kabla sijarudi?