Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mhhh!!! huko sasa umefika mbali, ila ukitaka kuthibitisha nenda kajaribu halafu uje umwage majibu hapa kama ulivyosema hapo kwenye redmatola dont be stupid and useless. Imagine kama angeshinda urais, ingekuaje bila first lady huoni kama ni kituko?bluu balaa na miss judith asanteni kwa busara zenu. Maisha yake yana tuhusu ni na lazima tuyajue. Je jogoo lake halipandi mlima? Wekeni mambo hadharani waungwana. Wengine kama imewachoma potezeeni sio lazima m coment.
point of education. Mama ngina ni mama yake uhuru,na alikua mke wa mzee jomo kenyata na sio MOI. Well je ana mke? Na kama hana kwanini haoi?
Bruce Lee,
..mwaka 1995 Prof.Lipumba alikuwa anaandamwa na CCM kwa kuvunja ndoa ya mama mmoja wa Kichaga anaitwa Georgina.
..CCM walikwenda mbali zaidi na ku-question Uislamu wa Prof.Lipumba kwasababu ya kuwa involved na mwanamke Mkristo.
..baada ya uchaguzi ule na mpaka leo sijasikia tena kama alikuja kumuoa huyo mama au waliachana.
NB:
..hata Pius Msekwa naye alipoonyesha nia ya kugombea Uraisi naye alitumbukizwa ktk kashfa kwa kulazimika kuthibitisha kwamba ndoa yake na Anna Abdalah ni halali.
sio lazima kuoa?!, kwa hiyo tuna ruhusu zinaa ktk zama hizi za ukimwi?unataka kuniambia kama hana mke ina maana hafanyi tendo la ndoa?kama anafanya then anazini ana muuzi mungu ndo maana hapati urais.
mtu mzima kunta kinte thanx. One more thing., ibrahim haruna lipumba(mme) muislam geogina(mke)mkristo. Inakuaje ndoa hiyo?mskitini,kanisani au bomani? Au prof alisilim kumfuata geogina? Tafadhali wakubwa msipandishe munkari nataka kumjua kiongozi huyu hodari wa cuf.
Hilo nalo neno...Bora haja pora mke wa mtu...
Ilo swali hapo juu anayewez* kujibu ni Lipumba pekee yake.point of education. Mama ngina ni mama yake uhuru,na alikua mke wa mzee jomo kenyata na sio MOI. Well je ana mke? Na kama hana kwanini haoi?
Mambo ya kuoa yamepitwa na wakati. Ukitaka ufe mapema wee uoa! Utaishia mastress kibao, na pengine ukajiona unapata maukimwi without your involvement. Kama hajaona namsifu sana. To marry is to die. I hate marriages, ma-stress kibao, mademu wa siku hizi hawashikiki! wapo kimaslahi tuu! Ukifilisika ndo mwisho wa ndoa yako! what kind of marriage is this? Ukitaka kuenjoy life to the full be single. Yote juu ya maisha yako unaamua wewe mwenyewe. A nice car, a nice house, a nice job,ect
Kwani Goergina ni nani?