Recent content by NyotaWaMchezo

  1. NyotaWaMchezo

    Nimrod Mkono alishwa sumu, ilikuwa imuue ndani ya masaa 72!

    Na hao waliompa warnings before hajaondoka ni akina nani? Seems to me kama walikuwa wanajua chezo lote ikiwemo kuwajua wahusika pia.
  2. NyotaWaMchezo

    Nimrod Mkono alishwa sumu, ilikuwa imuue ndani ya masaa 72!

    Cha kushangaza ni kwamba nchi ina issues kibao kuhusu viongozi lakini Mr. President yupo quite kabisa.
  3. NyotaWaMchezo

    Watu wanne waliojiita manabii wapigwa kwa mawe baada ya nyoka kutoka kwenye begi lao

    Huyo jamaa ni foolish hawezi kutofautisha utani na seriousness
  4. NyotaWaMchezo

    Mwanamke anapobebeshwa yasiyomuhusu!

    Kwa hiyo comment kama wewe ni mkristo ukaungame.
  5. NyotaWaMchezo

    Mwanamke anapobebeshwa yasiyomuhusu!

    Kama ni mkristo na uende ukaungame...
  6. NyotaWaMchezo

    Lowassa kuua ndege wawili kwa jiwe moja?

    Tehe teheee!!
  7. NyotaWaMchezo

    Nyuma ya pazia ya Operesheni Tokomeza

    Kaazi kweli kweli:mad:
  8. NyotaWaMchezo

    Nyuma ya pazia ya Operesheni Tokomeza

    Tujuze na sie basiii...
  9. NyotaWaMchezo

    Diva, B12, na Mchomvu wapigwa chini Clouds

    Duh!! Me nilisikia wako likizo:thumbup:
  10. NyotaWaMchezo

    Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    I guess hakuna aliye salama chadema, wote wana uchafu wao ambao haujawekwa wazi tu, its really sad coz me nilikuwa too deep in love with cdm lakini naona muda si mrefu hii love inaweza ikapotelea hewani....hapo inaonekana kama wamemtoa zitto na wakina kitila kama mbuzi wa kafara ili kujenga...
Back
Top Bottom