Lowassa kuua ndege wawili kwa jiwe moja?

Lowassa kuua ndege wawili kwa jiwe moja?

Ndg, ni saidieni nielewe! Lowasa anahusishwa vp kuongoza nchi wakati aliondoka madarakani kwa kashfa ya ufisadi (Rich)?
Hata Zuma Jacob aliwekwa papaya kwa ufisadi na akawa Rais mpaka sasa.
 
siamini kama EL anaweza hamia Cdm !!

Mkuu kuna taarifa za chini ya kapeti kwamba lowassa ameshaingia deal na chadema...THIS IS POLITICS MI FRIEND!

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
CCM muwekeni Lowasa CHADEMA tumalize kampeni mapema
 
CCM simamisheni Fisadi CHADEMA tumalize mchezo ndani ya half time
 
Binafsi mpaka Leo sielewi kwa nini watanzania ni wepesi sana kusahau. Kilichomfanya huyu Mhe. Lowasa kujiuzulu PM ni kwa sababu ya ufisadi, Richmond. Kitu kinaendelea hadi Leo hii tumepandishiwa umeme kwa unit moja Tsh 306 hacha charge nyingine Kama rea, vat, ewura...Je akishika nchi si tutakula majangili?

Tanga 1995 Baba wa Taifa alisema huyu jamaa hafai kuwa Rais maana ni fisadi. Miaka ya 85, baba yake mzazi alimshtaki kwa uongozi wa nchi, kisa kujenga nyumba Kubwa monduli wakati akiwa aicc. Kama baba yake mzazi amemuona ni fisadi kwa nini sisi watz tunamgombania?
 
ccm haina shida na el ila el anashida na ccm upo hapo!
 
lowassa amewashika pabaya wanachama wa vyama viwili hasimu nchini.

Moja
kwa ccm huyu jamaa amewekeza kwa wajumbe wengi iki wampitishe kugombea urais,kamati kuu ikimtosa basi ccm itakuwa vipande vipande.hili ni tishio dhahiri.Nadhani kamati kuu inaogopa kumpitisha kwani chadema yaweza kutumia kampeni dhidi ya ufisadi kumuangusha mwaka 2015.
Pia kambi za sitta,mwakyembe na membe zitachukia na kukimega chama hapo 2015.

Pili
kwa upande wa chadema mheshimiwa huyu amewahakikishia kuwa akitoswa na kk ya ccm basi ataingia chadema na washirika wake kutoka ccm na hivyo kuihakikishia chadema ushindi 2015,tujikumbushe ile kauli ya 'upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm'
Kimsingi chadema kama kilivyo vyama vyote vya siasa kina lengo la kushika madaraka kwa njia yoyote ile halali au hata ikibidi iwe haramu.kuungwa mkono na mtu mwenye nguvu ndani ya ccm ni karata muhimu sana katika kushika dola.

Anachokifanya lowassa kwa sasa ni vitu viwili...

Kuitishia ccm kwamba 'msinipopitisha nitahama chadema'

Pia kuwahaidi wanachadema kuwa ccm wakimtosa basi atagombea na kuiingiza chadema madarakani,ataserve kipindi chake na kuwaachia dola!

Hii karata ya lowassa nailinganisha na kuua ndege wawili kwa jiwe moja.

Mods tuache tujadili hii siasa !

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Jingalao haya ni mawazo yako. Sidhani kuwa CCM ni dhaiofu kiasi cha kutishwa hivyo, na wala sidhani kuwa CDM wanamuwania EL ki hivyo!
 
lowassa amewashika pabaya wanachama wa vyama viwili hasimu nchini.

Moja
kwa ccm huyu jamaa amewekeza kwa wajumbe wengi iki wampitishe kugombea urais,kamati kuu ikimtosa basi ccm itakuwa vipande vipande.hili ni tishio dhahiri.Nadhani kamati kuu inaogopa kumpitisha kwani chadema yaweza kutumia kampeni dhidi ya ufisadi kumuangusha mwaka 2015.
Pia kambi za sitta,mwakyembe na membe zitachukia na kukimega chama hapo 2015.

Pili
kwa upande wa chadema mheshimiwa huyu amewahakikishia kuwa akitoswa na kk ya ccm basi ataingia chadema na washirika wake kutoka ccm na hivyo kuihakikishia chadema ushindi 2015,tujikumbushe ile kauli ya 'upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm'
Kimsingi chadema kama kilivyo vyama vyote vya siasa kina lengo la kushika madaraka kwa njia yoyote ile halali au hata ikibidi iwe haramu.kuungwa mkono na mtu mwenye nguvu ndani ya ccm ni karata muhimu sana katika kushika dola.

Anachokifanya lowassa kwa sasa ni vitu viwili...

Kuitishia ccm kwamba 'msinipopitisha nitahama chadema'

Pia kuwahaidi wanachadema kuwa ccm wakimtosa basi atagombea na kuiingiza chadema madarakani,ataserve kipindi chake na kuwaachia dola!

Hii karata ya lowassa nailinganisha na kuua ndege wawili kwa jiwe moja.

Mods tuache tujadili hii siasa !

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Ivi samahani kama sijaelewa vile!! Huyu si ndio yule alikua na tuhuma za ufisadi!! Ina maana anataka tena kua rais?? MUNGU IBARIKI NA UILINDE TANZANIA.
 
Binafsi mpaka Leo sielewi kwa nini watanzania ni wepesi sana kusahau. Kilichomfanya huyu Mhe. Lowasa kujiuzulu PM ni kwa sababu ya ufisadi, Richmond. Kitu kinaendelea hadi Leo hii tumepandishiwa umeme kwa unit moja Tsh 306 hacha charge nyingine Kama rea, vat, ewura...Je akishika nchi si tutakula majangili?

Tanga 1995 Baba wa Taifa alisema huyu jamaa hafai kuwa Rais maana ni fisadi. Miaka ya 85, baba yake mzazi alimshtaki kwa uongozi wa nchi, kisa kujenga nyumba Kubwa monduli wakati akiwa aicc. Kama baba yake mzazi amemuona ni fisadi kwa nini sisi watz tunamgombania?
Ucjidanganye kuwa hiyo ni kashfa ya kuwafanya CDM washinde urais!! Lowassa alijiuzuru baada ya wale mawaziri kukumbwa na kashfa hiyo,na yeye akiwa ni kilanja wao,alijiuzuru baada ya wabunge kumwandama kuwa alifanya uzembe kuwacmamia,na c kwamba yeye alihucka kwenye mikataba hiyo. Hilo wengi wanalijua ndo maana bado anaonekana anafaa kuongoza nchi!! Na pia akigombea urais,ujue kuwa wapo CDM watampa kura zao nyingi tu
 
Ucjidanganye kuwa hiyo ni kashfa ya kuwafanya CDM washinde urais!! Lowassa alijiuzuru baada ya wale mawaziri kukumbwa na kahfa hiyo,na yeye akiwa ni kilanja wao,alijiuzuru baada ya wabunge kumwandama kuwa alifanya uzembe kuwacmamia,na c kwamba yeye alihucka kwenye mikataba hiyo. Hilo wengi wanalijua ndo maana bado anaonekana
anafaa kuongoza nchi!! Na pia akigombea urais,ujue kuwa wapo CDM watampa kura zao nyingi tu

Soma kwanza report ya Mwakyembe iiyomfanya Lowasa ajiuzulu kabla ya kujaribu kumsafisha. Lowasa alihusika moja kwa moja na utoaji wa tenda. Pale process ya tenda ilipochewa kwa mkono wake aliandika vimemo akilazimisha watendaji wafanye anavyoagiza. Vimemo hivyo ndivyo vilivyomfanya Dr Msabaha kuingilia mchakato wa tenda akitimiza matakwa ya Lowasa.

Richmond ilikuwa kampuni ya mwanae akishirikiana na Rostam. Sasa leo utasemaje ati Lowasa hakushiriki katika deal hile. Unadhani Lowasa alikuwa mjinga kuachia ngazi? Maji yalizidi kimo. Ila akagundua kwamba kumbe waTz ni mbumbumbu wasahaulifu na wepesi kusamehe wakishaona ela. Ndio maana wakamuacha huru na sasa ataona kumbe hata urais anaweza kuupata.

Naamini chadema hawawezi kumpokea kwasababu ndio walioibua ufisadi wake na kumkubali ni kuonyesha kukosa itikadi na misimamo juu ya tatizo sugu la rushwa. Lakini chadema watafurahi endapo ccm itamsimamisha Lowasa kwani kufanya hivyo ni kuipa Chadema ushindi wa mezani.
 
Tanzania ya leo utampata wapi asiye fisadi???

Ndg, ni saidieni nielewe! Lowasa anahusishwa vp kuongoza nchi wakati aliondoka madarakani kwa kashfa ya ufisadi (Rich)?
 
lowassa tunakubali utendaji wako wa kazi, system ndio ilokufanya uonekane fisadi ila usikate tamaa watanzania tunakuitaji karibu sana shule za kata hali ni mbaya sana, ingawaje wengine tumefika vyuo vikuu kwa kupitia hizo shule ila wadogo zetu bado wanafeli sana. Tunajua lilikuwa ni wazo lako hebu njoo uziokoe na hali hii iliyopo kwa sasa..... karibu lowassa 2015.!!
 
Back
Top Bottom