Hizo zote niaje niaje ndo zinachanganya watu tu ili kipindi kikipita aaaah [emoji21][emoji21][emoji21][emoji57][emoji57][emoji57]
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Umeshindwa control kiu mkuu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] wachaweee mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91] ......pambana na hali yako
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mwanaume kulalama na kumponda dem wako kwa jirani ni udhaifu .... wakati unamuweka ndani tatizo ulikua una tii kiu hukuwa na mtazamo mwingine sasa hivi kiu imeisha unakuwa na mtazamo mwingi...... chunga sana akili za kutiii kiu hutesa wanaume wengi jitahidi kujinasua mkuuu
Sent from my SM-G532F...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.