Mwenye PC pitia hapa

Mwenye PC pitia hapa

Natafuta PC iwe na uwezo mkubwa, graphics card ya maana
HDD 500
Ram 4
Core i5
processor 8
good condition,
Bettry life 6 hours

Appearance nzuri, iwe nyembamba, iwe mpya, iwe na chaji yake na pad za kuchezea game, iwe na warrant mwaka mmoja, iwe na begi lake la PC iwe na flash ya nyongeza.

Bei isizidi 150,000/=
haupo serious ww mzee
 
Natafuta PC iwe na uwezo mkubwa, graphics card ya maana
HDD 500
Ram 4
Core i5
processor 8
good condition,
Bettry life 6 hours

Appearance nzuri, iwe nyembamba, iwe mpya, iwe na chaji yake na pad za kuchezea game, iwe na warrant mwaka mmoja, iwe na begi lake la PC iwe na flash ya nyongeza.

Bei isizidi 150,000/=
Ukipata na mm nishtue..
 
heheheee acha ujuaji dogo
core i5..
processor 8
ndio nin?
 
Natafuta PC iwe na uwezo mkubwa, graphics card ya maana
HDD 500
Ram 4
Core i5
processor 8
good condition,
Bettry life 6 hours

Appearance nzuri, iwe nyembamba, iwe mpya, iwe na chaji yake na pad za kuchezea game, iwe na warrant mwaka mmoja, iwe na begi lake la PC iwe na flash ya nyongeza.

Bei isizidi 150,000/=
Mkuu kanunue sim ya techo itakufaa zaidi
 
Natafuta PC iwe na uwezo mkubwa, graphics card ya maana
HDD 500
Ram 4
Core i5
processor 8
good condition,
Bettry life 6 hours

Appearance nzuri, iwe nyembamba, iwe mpya, iwe na chaji yake na pad za kuchezea game, iwe na warrant mwaka mmoja, iwe na begi lake la PC iwe na flash ya nyongeza.

Bei isizidi 150,000/=
Acha Ufa.l.a
 
labda upewe 486 sijui kama uliwahi kuiona hiyo computer
 
Mrejesho wadau nawashukuru wote hatimaye nimefanikiwa kuipata PC yenye sifa zote nilizoziorodhesha hapo juu nimashine ya maana ni HP, pia nimepewa na begi lake ,pad zake,frash ya niongeza na movie pia game nimewekewa bure kwa warrant ya mwaka mmoja

Nimeuziwa kwa 100,000/= tu
 
Mrejesho wadau nawashukuru wote hatimaye nimefanikiwa kuipata PC yenye sifa zote nilizoziorodhesha hapo juu nimashine ya maana ni HP, pia nimepewa na begi lake ,pad zake,frash ya niongeza na movie pia game nimewekewa bure kwa warrant ya mwaka mmoja

Nimeuziwa kwa 100,000/= tu
Hawajakupa na namba za Fundi wao kabisa ili usipate shida huko uendako?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom