Wafanyakazi hewa wameondolewa na wanaendelea kuondolewa., wenye mishahara ya malaika imeshushwa.., ajira mpya hakuna/ imesitishwa.. Ongezeko la mishahara Mwaka huu hakuna..
Sasa bajeti ya mishahara itaongezekaje kwa mwezi? Hapa ndio panahitaji maelezo ya ziada..
uhsjibiwa
ushajibiwa hoja yako..
kwamba Bongo ukisikia udini basi ujue kachaguliwa Muislam, Akichaguliwa Mkristo basi sawasawa.. rejea teuzi za utawala wa JK.. Kila akichaguliwa Muislam ni nongwa, akichaguliwa Mkristo utasikia kichwa hicho.
mjadala huu hauna tija.. ufungwe tu.
Anayetajwa na Zitto kama mhusika toka CHADEMA katika kashfa hii ni Bashir Awale ambaye hajatajwa sehemu yoyote kunufaika na mipango hiyo kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi la jana, Disemba 2. Bashir Awale alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Stanbic tawi la Tanzania na baadae kuwa meneja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.