Comments zenu zinaumiza sana
Mimi nimezaa na mdada baada ya kushindwa kuoana hataki nijue habari za mtoto, kamficha wala hataki kunisikia nataka kweli kumlea mwanangu lkn mama ake hataki, nilijaribu mtengenezea bima ya afya lkn kagoma Kutoa cheti cha kuzaliwa
Anasema mtoto ni wake so...
Nadhani ungelaumu kama tu mlishafunga ndoa, mchumba/mpenzi tena umempata akiwa bado hajitambui/mgeni kazini/hajajipanga/ hajapata marafiki , ulimpata sababu ya hali yake nahis hakukupenda. Pia miaka 5 mingi sana kusubiri kwa kipi akusubiri umefunga naye ndoa? Mjamzito? Ulizaa naye? Au kitu gani...
Mimi SHIDA ZANGU
1. Inaleta Qualifications za mpk nta lvl 5 na sio 6. Sasa nitaitoaje sijui
2. Vyuo vilivyobaki inaniletea vya diploma sio degree , nachanganyikiwa
3. PDF ya transcript ni kubwa zaid ya mb 2, nifanyaje ipungue
Sijui kama nitachaguliwa. Nitaanzaje upya?
Mie nimejifunza mengi
Mimi nakumbuka na kujuta kwa kujifunza kwa nn sikuchagua mchumba kipindi niko chuo kikuu, sasa nimeajiriwa sehemu toka 2014, hamna wadada, siwaelewi kbs, fujo , nilitaka nioe mwaka huu lkn sina Mdada!!! Du sijui nifanyaje? Au nisubiri walimu wapy nimuombe DIO nikae na...
Una bahati sana kwamba uko naye krb na mpo wapenzi muonyeshe vya tofauti
Niliwahi kuwa Dada Mkali tukapendana nikawa namuogopa hivo hivo mwishowe tukaajiriwa sehemu tofauti sasa najuta kwa nn sikumbunja, na yeye huwa ananipigia na kunikumbusha mengi
Tumia fursa, unaweza kuoa
Hbr ya mapumziko ndugu zangu
Naomba kushare na nyie kile kinachonitokea kuhusu mahusiano yangu.
Ikumbukwe nilileta uzi hapa juu ya wazazi wa binti kuniomba mahari kubwa ili nimuoe binti yao.
Sasa baada ya kuamua kukaa kimya kuachana na hayo mambo, binti haelewi kabisa , anashinda analia , hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.