DIWANI WA KATA YA MYAMBA WILAYA YA SAME AUA MWANANCHI.Kuna Diwani (haramu) kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Myamba, Wilaya ya Same, Mkoa wa Kilimanjaro, ambaye kwa jina maarufu anaitwa MAGIRI.Usiku wa kuamkia tarehe 4/9/2026, majira ya saa nane usiku, alipita katika kituo tunachopakia...
Leo, Septemba 6, 2026, inatimiza miaka miwili tangu kifo chake, lakini hadi leo matokeo ya uchunguzi wa tukio hilo bado hayajawekwa wazi. Pumzika kwa amani, Ali Kibao, tutakukumbuka daima.
=====
September 6, 2026, marks two years since his death, but to this day, the results of the...
Mhe. Lissu: shahidi ulisema Jambo TV na Chanzo TV walirusha mkutano huo live, waeleze majaji kwa ufahamu wako uwepo wa hatua zozote za kuwafungulia Jambo TV na Chanzo TV mashtaka ya kuwezesha uhaini
Golugwa: kwa ufaham wangu sijasikia wala sijaona hatua zozote dhidi ya waandishi wa habari wa...
Risasi na milipuko vikali vimesikika katika maeneo kadhaa ya mji mkuu wa Niger, Niamey, ikiwemo karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa wa Diori Hamani na karibu na ikulu ya rais, kulingana na mashuhuda wawili wa shirika la habari la Reuters.
Tukio hili la mapema Jumamosi ni mara ya tatu mwaka...
Halmashauri ya Mji Mafinga imekanusha taarifa iliyotolewa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mji Mafinga, Dkt. Victor Msafiri, kuhusu madai ya kufukuzwa kazi kwa madaktari saba waliokuwa wakihudumu katika hospitali hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kaimu Mkurugenzi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.