Eti wadada, kuna ukweli kwamba jamii yetu bado iko na dhana ya kumuona mwanamke muhuni pale anapoomba tendo la ndoa hata kama ni haki yake akiwa ndani ya ndoa!? Wewe ni lini mara ya mwisho umeomba tendo kwa huyo mpenzi wako!?
Unyanyasaji wa kijinsia mtandaoni unawanyima Watu wengi kupata fursa zilizoko huko mtandaoni
Mtandaoni kuna fursa nyingi lakini wapo weni wanaoogopa kuwa mtandaoni kwa kuongopa unyanyasaji ambao wengine huufanya wakiamini kama sehemu yao ya burudani.
Mfano kuna dada mmoja nilipata fursa ya...
Shauri la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Geita, Neema Chozaire, lililokuwa linatarajiwa kusikilizwa kwa mara ya kwanza leo Julai 14, 2026, limeahirishwa baada ya Jeshi la Polisi kushindwa kumfikisha Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Geita.
Imeelezwa mahakamani...
Nyota wa Mamelodi na timu ya taifa ya South Africa, Jayden Adams (25) amefariki dunia leo.
Kiungo huyo amefariki dunia siku chache baada ya kushiriki fainali za kombe la Dunia, Marekani lakini mpaka sasa chanzo cha Kifo chake hakijawekwa wazi.
R.I.P Jayden Adams
For English Speakers
South...
Mtangazaji wa EFM anasema kwa hapa tulipo siasa hazina maana, waliopo madarakani wachape kazi, Je, hawa watangazaji waanze kupimwa akili kabla ya kupewa vipasa sauti?
Mbunge wa Maswa Mashariki, Dkt. George Venance Lugomela, amesema aliwapatia baadhi ya madiwani fedha alizozitaja kuwa ni posho wakati wa mchakato wa kura za maoni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2025, akidai baadhi yao hawakutekeleza makubaliano waliyokuwa nayo.
Akizungumza katika kikao cha...
Mbunge wa viti maalum Mkoa wa Njombe Sigrada Mligo amesema "Siwezi kwenda CCM, Haina jipya. Miaka 65 tangu tumecha kutaliwa ajenda ni Barabara, maji umeme. Hawana jipya, kuna muda naona bora tungeendelea kutawaliwa ma Wazungu, hawa Waafrika wenzetu wanatuchelewesha."
"Mimi mdogo wangu, nitaenda...
Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi Patrobas Katambi amewataka wafanyabiashara, wajasiriamali, waendesha bodaboda na bajaji pamoja na wananchi wote kuendelea na shughuli zao za kiuchumi kama kawaida Julai 7, 2026 Waziri Katambi amesisitiza kuwa hakuna sababu ya kusitisha shughuli kwa kuhofia...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema imefanikiwa kukabiliana na uhaba wa mafuta Nchini ambao ungetokea kufuatia vita vya Mashariki ya Kati vilivyopelekea kuadimika kwa bidhaa hiyo muhimu ya Nishati Ulimwenguni koteAkizungumza na Waandishi wa Habari, Jijini Dar es Salaam leo...
Muigizaji Siwa akizungumza kwenye kipindi cha mashamsham cha wasafi fm Juni 30/2026 na kusema ya kwamba hajawahi kuathirika anapoachana na mume wake na hutumia dakika 5 tu kutafakari pindi anapoachana na mwanaume.
Wewe huwa unatumia muda gani kumsahau X wako?
Mie ni mpenzi sana wa picha za kuchora kwa mkono, picha za ubunifu kuliko za kuchora kitumia programu au mashine.
Kuna picha zinachorwa na wasaanii wa uchoraji mpaka mwenyewe unabaki kuwaza huyu mtu aliwaza nini?
Wewe unapenda picha gani, au bora picha.
Tupia picha zako kali za kuchora kwa...
Kuanzia asubuhi ya leo Juni 30, 2026, Wananchi wengi tumekwama kupata huduma ya kununua dawa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) kufuatia mkwamo wa kimfumo uliosababisha hitilafu katika utoaji wa Namba za Malipo za Serikali (Control Numbers).
Hali hiyo imetuumiza wengi kwa kuwa...
Mama mkwe wangu namheshimu sana kama mama yangu ila kitu napishana naye ni pale anapotaka kuingia kuwa mzazi wa watoto wangu.
Ananiingilia sana kwenye malezi, kila nikifanya maamuzi kwa watoto wangu yeye anapingana nayo anataka mtoto alelewe vile yeye anaona inafaa mpaka nashindwa kuelewa huyu...
MAANDIKO YANASEMA...TUTAWAGUNDUA KWA VINYWA NA MATENDO YAO.
Natamani iwe kama Usajili ili tusajili Wabunge hawa wawe ndani ya Bunge letu na taasisi zenye dhamana ya kulinda Utu na Uhai wetu. Taifa letu lilisifika kama nchi ya Mstari wa Mbele katika ukombozi wa Afrika tukihubiri haki na uhuru wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.