Recent content by Nyendo

  1. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Diwani wa CCM wa kata ya Myamba Wilaya ya Same aua Mwananchi

    Unadhani kila mtu anakula kwa kupika majungu kama wewe? Diwani wa CCM mbaroni kwa kuendesha gari kwa uzembe na kusababisha kifo cha dereva Bodaboda
  2. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Diwani wa CCM wa kata ya Myamba Wilaya ya Same aua Mwananchi

    DIWANI WA KATA YA MYAMBA WILAYA YA SAME AUA MWANANCHI.Kuna Diwani (haramu) kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Myamba, Wilaya ya Same, Mkoa wa Kilimanjaro, ambaye kwa jina maarufu anaitwa MAGIRI.Usiku wa kuamkia tarehe 4/9/2026, majira ya saa nane usiku, alipita katika kituo tunachopakia...
  3. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Miaka 2 tangu kutekwa na kuuawa Mzee Ali Kibao, mpaka leo hakuna taarifa ya nani alihusika!

    Leo, Septemba 6, 2026, inatimiza miaka miwili tangu kifo chake, lakini hadi leo matokeo ya uchunguzi wa tukio hilo bado hayajawekwa wazi. Pumzika kwa amani, Ali Kibao, tutakukumbuka daima. ===== September 6, 2026, marks two years since his death, but to this day, the results of the...
  4. Nyendo

    JamiiForums Tanzania ACT wanazungumza na Wanahabari, leo Septemba 6, 2026

    https://www.youtube.com/live/l9aMozamc9E?si=Uzp7jrGfBn-D6-UJ
  5. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Ni Ngumu kujua anayeteka Watu Nchini, Vyombo vya Ulinzi vikibaini vitaleta Taarifa, Wananchi waripoti taarifa

    Wanajulikana kuwa ni CCM kupitia Polisi na mejeshi mengine hasa TIss
  6. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Kenan Kihongosi: Jeshi la Polisi wanafanya uchunguzi jambo la Polepole, wakikamilisha watatoa taarifa

    Wajichunguze wao wenyewe?
  7. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Ni Ngumu kujua anayeteka Watu Nchini, Vyombo vya Ulinzi vikibaini vitaleta Taarifa, Wananchi waripoti taarifa

    Eti anaviamini vyombo vitakomesha utekaji, Vyombo hivyo labda vijiko na masufuria, vimeshimdwa nini kwa miaka yote hii?
  8. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Askari Polisi: Polisi ni kitu chako cha ukweli ukwelii, anayemchukia Polisi ni kama unajichukia Mwenyewe

    Siwapendiiiiiiiiiiiiiiiii
  9. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Amani Golugwa asema haoni uwezekano wa mtu mmoja kuitishia Serikali, kupanga na kutekeleza kosa la uhaini

    Mhe. Lissu: shahidi ulisema Jambo TV na Chanzo TV walirusha mkutano huo live, waeleze majaji kwa ufahamu wako uwepo wa hatua zozote za kuwafungulia Jambo TV na Chanzo TV mashtaka ya kuwezesha uhaini Golugwa: kwa ufaham wangu sijasikia wala sijaona hatua zozote dhidi ya waandishi wa habari wa...
  10. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika aendelea kutoa Ushahidi kumtetea Tundu Lissu Mahakamani leo Agosti 31, 2026. Kesi imeahirishwa hadi Kesho

    Nipo Siti ya mbele kusoma namna Madikteta yanabagazwa leo
  11. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Risasi na milipuko vimesikika katika maeneo kadhaa ya mji mkuu wa Niger, Niamey

    Risasi na milipuko vikali vimesikika katika maeneo kadhaa ya mji mkuu wa Niger, Niamey, ikiwemo karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa wa Diori Hamani na karibu na ikulu ya rais, kulingana na mashuhuda wawili wa shirika la habari la Reuters. Tukio hili la mapema Jumamosi ni mara ya tatu mwaka...
  12. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Mafinga mjini: Hatujafukuza watumishi wa afya, bado tunauhitaji

    Halmashauri ya Mji Mafinga imekanusha taarifa iliyotolewa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mji Mafinga, Dkt. Victor Msafiri, kuhusu madai ya kufukuzwa kazi kwa madaktari saba waliokuwa wakihudumu katika hospitali hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Kaimu Mkurugenzi wa...
Back
Top Bottom