Mtaalamu wa Masuala ya Katiba na Sera Wakili Edson Kilatu ameeleza wasiwasi wake, na kutilia shaka kuhusu utendaji wa 'Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB)' Nchini akidai kwamba akidai kwamba uhuru iliyopewa Tume hiyo kwa mujibu wa Katiba na Sheria hautumiki ipasavyo
Akihojiwa na...
Hivi ni kwamba Polisi wanataka kuhalalisha matumizi ya mabomu ya mchozi viwanjani? kwamba kulikuwa na tukio hatari la kushindwa kuwadhibiti mashabiki mpaka mtumie nguvu kiasi hicho hadi kupiga abomu kuwtawanya mashabiki ambao wamelipa pesa kwenda uwanjani kutazama mchezo?
Haya mpaka lini? Ni...
Hiki ni kipande cha Barabara inayotoka Ipole – Tabora kuelekea Mbeya, hali ni mbaya sana, wananchi tunateseka kwa kushindwa kupita kwa utulivu.
Kuna muda abiria tunalazimika kushuka ili gari liweze kupita na kuvuka mashimo yaliyopo hapo hasa nyakati za mvua.
Serikali ifanye kitu kuhusu...
"Kwa uamuzi wenu siyo tu kwa kuniunga mkono, walioniunga mkono ni wengi, lakini kwa kitendo chenu cha kuniunga mkono waziwazi na hamkuficha. Mie ni mkristo na naungwa mkono na vongozi wangu wa kikristo, tofauti iliyopo ni kuwa hawa wameniunga mkono waziwazi bila kuficha, bila kusita...
Kwanza kabisa nipeni kiti nikae nifute machozi mkulima mimi! Hivi hawa madalali kwa nini wana nguvu kiasi hiki? Kwa nini wanaruhusiwa kuwepo licha ya unyonyaji wanaotufanyia wakulima? Ni huzuni sana, kilimo kimezungukwa na utapeli ambao unakaliwa kimya, wakulima tunaumia
Mkulima nahangaika...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mara limewatawanya kwa mabomu ya machozi wanawake wa Baraza la Wanawake wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAWACHA) waliokuwa wamekusanyika mjini Musoma kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, leo Machi 8, 2026.
Kwa mujibu wa mashuhuda waliozungumza na...
Ukienda Polisi kutoa Taarifa hukuti Afisa wa Polisi kwenye meza ya mapokezi, hukuti makaratasi bali unakuta vifaa vya kidigitali pekee. Ni vituo janja vya polisi ambapo mtu anaweza kutoa taarifa yeye mwenye moja moja kwa kuweka taarifa hiyo kwenye vifaa janja na Polisi kupokea taarifa na kujibu...
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimesema mkoa wa Dar es Salaam bado unaongoza kwa matukio ya ukatili wa kijinsia nchini Tanzania, huku sababu kubwa ikitajwa kuwa ni msongamano wa watu na muingiliano mkubwa wa shughuli za kiuchumi.
Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC...
Kocha wa Yanga SC, Pedro Gonçalves amethibitisha kuwa beki wa klabu hiyo, Dickson Job atakuwa nje ya uwanja kwa kipindi kinachozidi miezi miwili kufuatia majeraha aliyoyapata katika mchezo wa Dabi ya Kariakoo.
Video hii imerekodiwa katika eneo la Sinza Afrikasana Jijini Dar es salaam ikionesha usumbufu wanaoupata wapita njia pamoja na magari na kuathiri shughuli za kila siku baada ya maji kujaa katika eneo hilo kutokana na mvua iliyonyesha leo.
Wakazi wa eneo hilo wanasema hali hii imekuwa ikijirudia...
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata tani 9.93 za dawa za kulevya aina mbalimbali, chupa 1,795 za dawa tiba zenye asili ya kulevya kwa kipindi cha Januari hadi Februari 2026.
Akizungumza jijini Dar es salaam mbele ya Waandishi wa Habari, Kamishna Jenerali wa...
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Marekani na Israel zililazimishwa kuishambulia Iran ili kujilinda kwakuwa Iran ilikuwa inajiandaa kufanya mashambulizi .
Soma Waziri wa Ulinzi wa Israel asema jeshi la nchi hiyo litaua mrithi yoyote wa Ali Khamenei
Trump amesema “Kutokana na jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.