Anasimulia: Haya! Sasa leo nimekuja sasa niwape story kuhusu haya mapengo yangu. Na watu wengi wamependa sana kuulizia kuhusu ajali, sijui nini na nini.
Guys, kuna time nilikuwa naona kama helmets ni option tu na sio kitu kitu serious. Nikikuwa napanda bodaboda naambiwa tu na watu, 'Wewe, vaa...
Ofisi ya msajili wa vyama vya siasa inafanya kazi ya kuchochea machafuko.
Sisty Nyahoza aliekwenda kwa marehemu mama Komu na kumshawishi kusaini karatasi ya kufungua kesi ambayo ilifungia chama chetu kufanya kazi siku 309..
Madhara mengi walitaka kukifuta chama kupitia kesi hiyo ya Said Issa...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amemteua Haji Manara kuwa Msemaji wa Timu za Taifa za Tanzania, akifanya kazi chini ya Baraza la Michezo la Taifa (BMT).
Waziri Makonda ametangaza uteuzi huo leo Mei 28, 2026, akiwa viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
Methali gani unaona imepitwa na wakati na ipi ilikuwa mbele ya muda yaani inafaa hata sasa?
Mfano mie naona aliye Juu mngoje chini kama imepitwa na wakati maana asiposhuka itakula kwako,
Wakuu, haya mahusino naona kabisa hatuna future, ila tumezoea kuwa pamoja na ndio kitu pekee kinatubakisha.
Kwa namna nilivyoishi na huyu bibie sihitaji kuachana naye kwa vurugu, nahitaji tuachane kwa amani kila mtu ashike lake.
NIpeni mbinu wakuu, nifanyaleje? Maana kama ni kupunguza...
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, akiwasili Bungeni jijini Dodoma leo Mei 15, 2026 na kupokelewa na Chaaba kutoka jamii ya Hadzabe, aliyefika kufuatilia uwasilishwaji wa Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa fedha 2026/2027.
Dkt. Kijaji anatarajiwa...
Ni ajabuWaziri wa katiba na Sheria kutaja jina, eneo, mtu alikokuwa anafanyia kazi na namba ya simu ya mteja anayemuhudumia, haoni kuwa anavunja sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi za mtu.
Au hajui kuwa hizo taarifa zinapaswa kuwa siri hazitakiwi kuwekwa hadharani kama alivyofanya yeye Waziri...
-Kupuuza gari linapopata joto kupita kiasi kwani Injini ikizidiwa na joto sana inaweza kuharibika na gharama ya kutengeneza ndio unasema kipengele
-Kuchelewa kubadilisha oil
Kumekuwa na hali ya kila kizazi kukishangaa kizazi kingine, mfano Millennials wengi wanawashangaa namna Gen Z wanavyochukulia mambo, wanaona kama wanayachukulia kwa wepesi hata kama yanaonekana mazito na namna hawakubali kupelekeshwa ili akusikilize inabidi umpe sababu yenye mashiko haijilishi...
Wakuu hali inazidi kuwa mbaya, kila kitu ni kilio bei juu, Gesi ya kupikia imepanda, mafuta ya kula yamepanda, mafuta yamepanda na sasa na Dangote kapandisha Sementi kisa gharama za usafiri sijui tukimbilie wapi hali inabana na vipato vipo vilevile kazi ipo kwa Watanzania.
====
Kwa Tafsi ya...
Sera ya matibabu bure haitufikii vyema wanawake, kumwambia Mwanamke wa kijijini achangie 250,000 kwa ajili ya upasuaji, ni gharama kubwa sana hivyo wanawake wanaona bora wakajifungulie nyumbani
Hayo ameyasema leo 12 Mei 2026, Bungeni Dodoma, wakati akichangia hoja bungeni kuhusu bajeti ya...
Jaji Joseph Sinde Warioba ameyasema hayo kwenye Mahojiano yaliyochapishwa leo 10, Mei 2026 na The Chanzo, ambapo amesema kuwa alikuwa akisikia kuwa wananchi watulie kwa kuwa Serikali imeunda tume.
Hivyo alitegemea baada ya tume kuweka ripoti hadharani ingebaki kuwa wazi na kusomwa na watu wote...
Waendesha baiskeli maarufu kwa jina la daladala katika maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Simiyu wameongeza nauli kutoka Sh500 hadi Sh1,000 kwa safari za ndani, wakidai hatua hiyo imetokana na kupanda kwa bei ya mafuta pamoja na gharama nyingine za maisha.
Hatua hiyo imeanza kuonekana katika baadhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.