Recent content by Nyavinene

  1. Nyavinene

    Kala mtaji kutoka milioni 1.5 sasa hivi kabakiza 8000 tu

    Habari wakuu! Aise Kwanza niseme tu kuwa maisha Ni magumu mno Tena kwa upande wa wasomi. Dogo kamaliza chuo kapewa kianzio ila Sasa hivi hata mwezi tu hajamaliza tayari mtaji kaumaliza. Ombi langu kwenu: nipeni mbini za kujiajiri ili nimfundishe dogo make kwa Sasa sidhani Kama uwezekano wa...
  2. Nyavinene

    Msaada: Nimempa mtaji wa Tsh. milioni 1.5 ila ndani ya wiki 2 tu kabakiza 500,000

    Mkuu umeandika mawazo mazuri sana, na yeye anapambana kwenye dagaa but naona yeye shida hajapata soko tu. Kama unaweza kunipa neno kwa hiyo biashara karibu boss
  3. Nyavinene

    Msaada: Nimempa mtaji wa Tsh. milioni 1.5 ila ndani ya wiki 2 tu kabakiza 500,000

    Habari zenu Jamani hawa madogo wanaomaliza vyuo ni pasua vichwa bora sisi wenye la 7 zetu. Dogo kamaliza masomo kaomba mtaji wa kulangua dagaa na kuuza ila kaenda takriban trip 3 tu mtaji umeisha. Nisaidieni nimuongeze pesa au niache apambaniye hiyo hiyo?
  4. Nyavinene

    Course ya EDUCATION ni ya kijinga sana wakati huu

    Kwa mtazamo wako unaona Nina low thinking capacity et, wewe c ulikuja na mayai ya bundi nikakutoa nduki I mean sijasoma lkn wewe mwenye higher thinking capacity ulikuja kujikomba kwangu[emoji3][emoji3][emoji3]
  5. Nyavinene

    Course ya EDUCATION ni ya kijinga sana wakati huu

    Nina elimu kubwa mno ndo maana naishi kenya
  6. Nyavinene

    Course ya EDUCATION ni ya kijinga sana wakati huu

    Jamani nilikuwa busy kutafuta chapa huku kenya saiv ndo nimetulia Sasa. Ila twende mbele turudi nyuma ualimu Ni kazi ya kimasikini sana. Sema dogo pindi anasoma nilikuwaga mbali naye but saiv nipo tz nikataka nimfanyie michongo huko mwanza ila nimeona Bora nimpe mtaji. Ualimu c kazi
  7. Nyavinene

    Course ya EDUCATION ni ya kijinga sana wakati huu

    Habari wadau! Katika kusoma au kusomesha usije kuruhusu au kusomesha mwanao course ya ualimu. Hii kozi ni ya watu ambao hawajui kesho yao. Mimi Kuna mdogo wangu kamaliza chuo mwaka huu. Nimeamua nimtafutie mchongo but kwa vile akosomea ualimu kila akienda sehemu hakuna mchongo unaoendana na...
  8. Nyavinene

    Wapi nitapata Samaki wa Kubanika kwa jumla Mwanza

    Nataka wa mwanza mkuu
  9. Nyavinene

    Wapi nitapata Samaki wa Kubanika kwa jumla Mwanza

    Jamani! Nipo natokea Tabora naelekea Kisumu Kenya ila natarajia kununua samaki wa kwenda nao huko. Kwa wenyeji naomba mnipe mwalo wa kupata hizo samaki kwa bei ya jumla
  10. Nyavinene

    Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

    Hiyo c picha tu mkuu!?
Back
Top Bottom