Nyavinene
Senior Member
- Jul 28, 2020
- 164
- 173
Habari zenu
Jamani hawa madogo wanaomaliza vyuo ni pasua vichwa bora sisi wenye la 7 zetu. Dogo kamaliza masomo kaomba mtaji wa kulangua dagaa na kuuza ila kaenda takriban trip 3 tu mtaji umeisha.
Nisaidieni nimuongeze pesa au niache apambaniye hiyo hiyo?
Jamani hawa madogo wanaomaliza vyuo ni pasua vichwa bora sisi wenye la 7 zetu. Dogo kamaliza masomo kaomba mtaji wa kulangua dagaa na kuuza ila kaenda takriban trip 3 tu mtaji umeisha.
Nisaidieni nimuongeze pesa au niache apambaniye hiyo hiyo?