Mimi ningetaka tu twende lkn kwa nilichokiona jana naomba tu wasiende kwani unaweza kuvuna aibu ya MWAK ukatandikwa magoli 80. Tuendelee kujipanga, timu ya CHAN ilikuwa nzuri zaidi ya hii niliyoiona pale.
Lile pambano na Mmalawi nia Aibu KUBWA kuwahi kutokea duniani. Jamaa alishindwa kwa mbali sana sana tu wale wataamuzi sijui nisemeje. Kwa kweli ule ni wizi wa mchana kweupe KABISA. Upande wa pamba la mwisho walisema ni SARE na ni vichekesho kwani kwa raoundi zote kuna mtu alipgwa hata chini...
Mkewe alishika ama nimeona vibaya MKEWE alibeba na yeye mkono mmoja kanyoosha na mwingine kaweka kwenye Biblia ama Trump takes presidential oath of office
Hiyo TISA kumi kwenye kuhifadhi vyakula ambapo wanatumia makaratasi ya NAILONI kuhifadhi wanasema ni kichocheo cha KANSA kwa kwenda mbele. Hawa maofisa Afya inabidi wawaelimishe jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.