Hhahahahhaa , umenikumbusha Mbaliiii lol ! Kamati hizi , Binafsi niliwahi kuwa kwenye kamati ya Vinywaji , lakini katikati ya shughuli niliamriwa na Mama wa Bwanaharusi kuhifadhi katoni tano za Heinken na kreti tano za soda !eti kwa ajili ya wageni waliotoka Mkoa , unaanzaje kubisha hapo ....
Makonda kijana wa juzi tu hana hata maclassmate waseme chochote mpaka Bungeni ?? kama Mitandao yetu haionyeshi ! vitu vya ajabu hana hata magroup ya sekondari ! mhhh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.