Sidhani kama unataka kujenga uadui kiasi hicho kwa sasa. Nipashe ni wachokozi.Mawaziri hao ni Prof. Joyce Ndalichako (Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi), Ummy Mwalimu (Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto), Prof. Makame Mbarawa (Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano) na Mhandisi Gerson Lwenge (Maji na Umwagiliaji).
Wengine ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Kairuki, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Simbachawene.
Wamo pia wasaidizi wa mawaziri hao ambao ni Mhandisi Stella Manyanya (Elimu), Dk. Hamis Kigwangalla (Afya), Edwin Ngonyani(Ujenzi), Mhandisi Isack Kamelwe (Maji), Selemani Jafo (Tamisemi) na Dk. Ashatu Kijaji (Fedha).
Chanzo: Nipashe
Labda kama Makonda hakupata div 0 vinginevyo Gwajima hawezi kuwa na cheti cha Makonda chenye div 0 kwa sababu vyeti vya aina hiyo haviwezi kuwapo. Sana sana anaweza kuwa na matokeo ya darasa zima ambayo pengine yana namba na kwa hivyo siyo lahisi kujua namba aliyofanyia mtihani Mr. Mako.Wamchukue na Makonda akareseat huu ndio wakati wa usajili. Kile cheti alichonacho Gwajima akikitia atakosa pa kuuweka uso wake.
Leaving certificate itayotuonyesha alisoma Pamba Sec baada ya hapo matokeo ni hadharani.Labda kama Makonda hakupata div 0 vinginevyo Gwajima hawezi kuwa na cheti cha Makonda chenye div 0 kwa sababu vyeti vya aina hiyo haviwezi kuwapo. Sana sana anaweza kuwa na matokeo ya darasa zima ambayo pengine yana namba na kwa hivyo siyo lahisi kujua namba aliyofanyia mtihani Mr. Mako.
Huu all uandishi wa mwendo kasi? Ntaitisha press conference gengeni kwangu waandishi njooni[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Na Mbarawa tena...........Duh!
hilo la fedha sio la waziri ayseeMimi akianza na yule wa fedha nitafurahi mno, mipango yake ya fedha ktk bajeti hii imeumiza mno wanyonge, kodi kwa watu zimekuwa kubwa.
naunga mono hoja.Mpango must goMimi akianza na yule wa fedha nitafurahi mno, mipango yake ya fedha ktk bajeti hii imeumiza mno wanyonge, kodi kwa watu zimekuwa kubwa.
Issu ya MAKONDA naona kakausha kama alivyokausha kwenye issue ya Jesca ......................!!Hizo ni habari za vijiweni ambazo mh Rais hawezi kuzifanyia kazi,zilianza kwa Makonda lakini mpaka leo Makonda bado ana dunda.
wahi chooni naona umezidiwa.!wammpe nafasi MAKONDA ya uwaziri wa mambo ya ndani awatie diaplene mapapa ya madawa kama kina mbowe na lowasa
BasheAkiwatoa hao nani mwingine anafaa? Kwa wabunge waliobaki ccm hao ndio angalau, wengine ni urojo tu na hawafai kupewa wizara yoyote.
Kazi ilikushinda.Una uhakika hiyo mipango anapanga yeye mkuu?
Mimi nimeshawahi kupewa kamati ya ulinzi kwenye sherehe ya harusi, lakini hapo hapo kila baada ya dakika 10 atakuja kaka wa bwana harusi na kupita na watu wawili wasio na kadi.
Una uhakika hiyo mipango anapanga yeye mkuu?
Mimi nimeshawahi kupewa kamati ya ulinzi kwenye sherehe ya harusi, lakini hapo hapo kila baada ya dakika 10 atakuja kaka wa bwana harusi na kupita na watu wawili wasio na kadi.
Mawaziri hao ni Prof. Joyce Ndalichako (Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi), Ummy Mwalimu (Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto), Prof. Makame Mbarawa (Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano) na Mhandisi Gerson Lwenge (Maji na Umwagiliaji).
Wengine ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Angellah Kairuki, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), George Simbachawene.
Wamo pia wasaidizi wa mawaziri hao ambao ni Mhandisi Stella Manyanya (Elimu), Dk. Hamis Kigwangalla (Afya), Edwin Ngonyani(Ujenzi), Mhandisi Isack Kamelwe (Maji), Selemani Jafo (Tamisemi) na Dk. Ashatu Kijaji (Fedha).
Chanzo: Nipashe