Recent content by nyarwaka

  1. N

    Mwigulu: Membe, Sitta Hawatapata Urais

    Lowassa hatofautiani na panya
  2. N

    Majibu ya Mwigulu Nchemba kwa vijana wanaohoji ''uheshimiwa'' zake

    usitilie shaka mkuu ni huyu jamaa na mafuska menzake hayana hata chembe ya staha ya uongozi. Nihofia usalama wa mabinti walioko ccm.
  3. N

    Dr. Slaa aanza ziara ndefu barani Ulaya

    power.........! Viva cdm. Nje ndani ndo mpango mzima
  4. N

    Nahitaji kuwa na rafiki wa kike kutoka mwanza, mara au geita.

    Kwanza, nawapongezeni kwa juhudi zenu ktk kutafuta maisha bora na ujenzi wa taifa letu. Pili, mimi ni kijana wa kiume (miaka 26). Furaha yangu ni kumpata rafiki wa kike anaeishi mwanza, mara au geita. Shabaha ya urafiki wetu itakuwa ni kujengana kimaisha kwa kubadilishana mawazo yenye kumjenga...
  5. N

    Rafiki wa kike wa kubadilishana mawazo

    duuh!! Kama kwa sangatiti vile!
  6. N

    PICHA: Kada wa CHADEMA, Amos ajeruhiwa vibaya kwa Shoka na GREENGUARD wa CCM Arusha

    Namwomba Mungu akuponye upesi urudie harakati za ukombozi wa taifa letu. Hawatatudhulumu milele. Mbinu zao ni chafu lakini naamini ushindi ni wetu coz Mungu yuko upande wetu.
  7. N

    Mwigulu Nchemba: CCM imejenga shule za kata, CHADEMA mbona hawajajenga hata chumba?

    nimependa hapo kwenye ofisi za ccm. CCM ni wezi na matapeli hata kwa vitu vilivyo wazi. Ni mjinga pekee ataweza kuamini kuwa mwaka 1995 ccm walikuwa na uwezo wa kujenga viwanja vyote wanavyodai kuvimiliki. Viwanja hivyo pamoja na vitega uchumi vingine vingi vilijengwa kwa nguvu ya wananchi wote...
  8. N

    Mwigulu Nchemba: CCM imejenga shule za kata, CHADEMA mbona hawajajenga hata chumba?

    mkuu kauli yako imenikosha sana. Mwigulu hana tofauti na komba alitamka kuwa chadema ndo wanafelisha wanafunzi. Fuatilia kauli nyingi za wabunge wengi wa ccm utaweza baini kuwa hazina miguu ya kusimamia(research). Kwao bora ni kuropoka tu alimradi aonekane kuilinda serikali.
  9. N

    Mwigulu Nchemba: CCM imejenga shule za kata, CHADEMA mbona hawajajenga hata chumba?

    hata tatizo la uhaba wa maji kwa dar kikwete alisema itakuwa historia kufikia 2012. Je, ametekeleza? Maisha bora aliyoaahidi yako wapi hadi leo?
  10. N

    Mwigulu Nchemba: CCM imejenga shule za kata, CHADEMA mbona hawajajenga hata chumba?

    Ubunge wa Mwigulu ni matokeo ya kuruhusu akili ndogo iongoze akili kubwa. Huyu na tumbo tumbo(komba) ni the same. Mwigulu anapaswa aweke wazi ni kiasi gani ccm imechangia ktk ujenzi wa shule hizo. Hivi anafikiri kuwa tumesahau jinsi ndugu zetu walivyoteseka kutokana na ujenzi wa shule hizi? Kuna...
  11. N

    Usithubutu kuoa mwanamke wa hivi

    nakubaliana nawe kwa namba 3 na 6. familia ambazo mke ana sauti kuliko mume daima mabinti wa hapo huwa wana kiburi kinachotokana na mama yao. Wanakuwa wanafikiri kuwa wana uwezo wa kuwafanya waume zao kama mama yao anavyomfanyia baba yao yaani ni nadharia na vitendo. Pia mwanamke mchawi ni sumu...
  12. N

    Hodiii..

    kwani neno permojah lina athari gani mkuu? Any way asante kwa ukaribisho wako. Nazd kunena tena tuko pamoja.
  13. N

    Hodiii..

    Kwanza nawapa pole kwa mihangaiko ya kutwa ya ujenzi wa taifa letu. Naamini mwisho wa yote ni kujenga taifa lenye ustawi imara kwa manufaa ya wote. Pili naombeni mnipokee kwa furaha ktk jukwaa hiki. Permorejah sana.
  14. N

    Ya mtwara na utajili wa maliasili zetu

    YA MRWARA NA UTAJIRI WA MALIASILI ZETU Baada ya Mtwara sijui ni wapi patafuata. Yaweza kuwa Arusha (Tanzanite), Shinyanga (Almasi na Dhahabu), Mwanza (Samaki), Mara (Dhahabu) na kwingineko kwingi. Ni viongozi wenye utashi wa kutoa maaamuzi ya busara tu wanaweza kutunasua na tope hili. Nafikiri...
  15. N

    Mgomo mkubwa chuo kikuu cha udom kesho watangazwa

    Hawa jamaa wametuonea vyakutosha sasa hiviv hali ya maisha hapa UDOM ni mbaya sana, watawala hawaonekani kuguswa na hili tatizo maana wao ndio sehemu kubwa ya matatizo haya. Kila siku tunabandikiwa matangazo ya kutusihi tuwe wavumilivu lakini hakuna positive impact yoyote. sasa tumechoka lolote...
Back
Top Bottom