Recent content by Nyarongi

  1. N

    Mikakati ya mbunge yamng'oa katibu CHADEMA Ilemela

    Wana JF, Habari habari nilizo zipata kutoka ndani ya CHADEMA Ilemela zinasema mikakati ya mbunge kiwia kuandaa mazingira ya kushinda ubunge mwaka mwaka2015 imesababisha kung'oka kwa katibu wa wilaya aitwae Majura. Inaelezwa majura amejiuzulu baada ya kupinga mpango wa mbunge huyo kumfanya kaka...
  2. N

    Mbatia na Mbowe ugomvi wenu uishie njia panda ya Himo

    Nchi hii kila mtu ana haki ya kuchagua ujinga unaomtosha,lakini wewe umechagua ujinga mwingi kuliko kichwa chako endelea kurandaranda uchi na utafia jalalani kwa Mwigulu.
  3. N

    Mbowe ueleze umma ukweli, ni nani kafanya mauaji arusha?

    ndani ya mioyo yenu mnajua hakuna mtu aliyeijenga chadema kufikia mahli pa kuinyima usingizi ccm na serikali yake. Tunawasikiliza lakini ushauri wenu hatuhitaji
  4. N

    Yuko wapi Deogratius Kisandu?

    Kisandu yuko mkoani Mwanza anafundisha moja wapo ya shule za sekondary wilayani Misungwi. mara ya Mwisho alikuwa anaongoza kampeini za kumnadi mgombea wa chama chake katika kata ya Nyampulukano Sengerema na wakaambulia kura pungufu ya 40. Siku ya mwisho alipata ajali mbaya ya gari akanusurika kifo.
  5. N

    NewYork Times: Violent Episodes Grow in Tanzania, an African Haven

    Kwa upumbavu wenu mnaweza kuseam hata hata yule mfarasa Souper alipewa tip na real Dr SLAAAA. POLENI.
  6. N

    Kiwia na Wenje mnawakilisha akina nani? WanaMwanza hatutarudia makosa 2015

    Etii!!!! sijakupata vizuri hapo kwenye maandiko mekundu unamaanisha nini? Yaani unasema kuwa tangu pale mlipowakata mapanga Kirumba hamjawaona tenna. Sasa anza kuwatafuta mchana.
  7. N

    Kiwia na Wenje mnawakilisha akina nani? WanaMwanza hatutarudia makosa 2015

    PILITON ni kiumbe mdogo aliyumbwa na na binadamu na kazi yake ni kutumwa. Lakini kwa kazi hii uliyotumwa umetwishwa gunia la misumari hebu achana nayo waliokutuma walishajaribu wakashindwa. Waliowachagua Wenje na Kiwia tupo,tunajua kazi tuliyowatuma na tunaridhika wanaifanya vizuriiiiiiii.UGOMVI...
  8. N

    Chadema wamehonga tsh mil 9 kufanikisha chaguzi Ardhi University

    nipe maelezo kidogo ili niunganishe taarifa nilizo nazo 1.mgmbea aliyeshinda ni nani, yuko kozi gani na mwaka wa ngapi??? 2.mgombea aliyeshindwa (wa ccm) ni nani, yuko kozi gani na mwaka wa ngapi. Fanya hima unipe taarifa
  9. N

    DCI, sema neno wana CHADEMA tuelewe

    MBUNGE WA ILEMELA Mhe Kiwia Highness alinusurika kuuawa na watu waliomshambulia walitajwa pelelezi umefikia wapi?
  10. N

    Nape: Jitegemee Trading Company ni mali ya CCM, lakini...

    Mkuu Ngalikihinja naona umesahau? Nape aliwahi kuwataja Mafisadi na alitaja jina la E.N.Lowasa na Manji kuwa waliusika na ufisadi wa mikataba ya upangaji ardhi na majengo mali ya UVCCM. Kwa kuwa UFISADI ni dini ya CCM Makamba alimfuta uanachama. Alipotubu alisamehewa na kupewa u-DC Masasi...
  11. N

    BAVICHA iliashaamua hata kabala ya Ben Saanane kuibuka

    Ninaamini katika dhamira yako isipokuwa kuna makosa madogo madogo unayofanya. Hebu kuwa na tahadhari na marafiki zako wa zamani wengi ni Virus. By the way hakuna aliye zaidi ya BAVICHA na CHADEMA.
  12. N

    Mkurugenzi wa Manispaa ya IIemela aichafua CHADEMA

    Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela alihaji Zuber Mbyana ameamua kutumia vibaya jina la chadema ili kuhalalisha kuwalipa asikari polisi aliowaita ilikumlinda yeye na madiwani wa CCM kutokana na hofu waliyonayo dhidi ya wafuasi wa chadema. Hofu hiyo inatokana na wao kushirikiana kuvunja sheria na...
  13. N

    CHADEMA, acheni kurandaranda mijini,nendeni kwa wapiga kura vijijini.

    Umesikika na hivi punde utaona utekerezaji.M4C sio Mawazo isipokuwa ni mgawanyo wa majukumu na mkakati.
  14. N

    BAVICHA Ilemela wawabana masalia wa Matata

    Habari kutoka ILEMELA zinasema kuwa BAVICHA wamejipanga kusafisha wasaliti wote ndani ya baraza na chama kwa ujumla. Wa kwanza kushughulikiwa ni Mwenyekiti wa BAVICHA wa Wilaya SABINI RICHARD. Huyu Bw anatuhumiwa kumsindikiza Chagulani kwenda kufungua kesi dhidi ya chama, pia alimsindikiza...
  15. N

    Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

    Hiyo CCCCV ingelikuwa na akili kama tungeletewa na huyo Nape 'mtoto wa mwanamke' akionyesha alama alizo pata.Vinginevyo ni upuuuzi kama ule wa CCM kuwaahidi Waislamu mahakama ya kadhi.
Back
Top Bottom