Mkurugenzi wa Manispaa ya IIemela aichafua CHADEMA

Mkurugenzi wa Manispaa ya IIemela aichafua CHADEMA

Nyarongi

Member
Joined
Dec 23, 2012
Posts
19
Reaction score
6
[SUP]Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilemela alihaji Zuber Mbyana ameamua kutumia vibaya jina la chadema ili kuhalalisha kuwalipa asikari polisi aliowaita ilikumlinda yeye na madiwani wa CCM kutokana na hofu waliyonayo dhidi ya wafuasi wa chadema.

Hofu hiyo inatokana na wao kushirikiana kuvunja sheria na kumchagua Matata kuwa Meya ingawa alikwishafukuzwa na chama chake. Kutokana na ukimya wa chadema mkurugenzi amekuwa hajui CHADEMA wanawaza nini ndio maana kila kunapokuwa na kikao anaita polisi ,ambao anawalipa fedha ya Manispaa bila idhini ya baraza la madiwani. Huu ni ufisadi.

BADALA YA KUANZA UZUSHI KAMA ANAUHAKIKA KUWA CHADEMA WANAWAHAMASISHA WAFUASI WAO ILI KUMWONDOA MATATA,BASI WACHUKULIWE HATUA ZA KISHERIA.

Hata hivyo ukweli ni kwamba hata picha za tv zinaonyesha kuwa hakukuwa na watu [CHADEMA] pale ila tu lilikuwapo lundo la POLISI na bunduki zao.[/SUP]
 
hawa kina alhaji wanamatatizo gani mtu akitoka kuhiji na akili zinapungua
 
Tutasonga Mbele Chadema kwa nguvu ya mungu na sio huyo meya aliyenunuliwa
 
hawa kina alhaji wanamatatizo gani mtu akitoka kuhiji na akili zinapungua

tunajua wazi chuki yenu ya asili mnapoona majina kama haya, hamridhiki ila mnakunja nyoyo zenu... Bahati mbaya nao ni watanzania tena wenye haki zote kuishi tanzania hii
 
hawa kina alhaji wanamatatizo gani mtu akitoka kuhiji na akili zinapungua

unaona mnavoadhirika? Mnajisahau kabisa hayo mnayoyaongea na kuyapanga gizani mnayasema sasa....kwa taarifa yako hao ni watanzania pia... Kama huwapendi hama nchi
 
Mbaya zaidi twaambiwa kuwa huyo ndo msimamizi wa uchaguzi wa jimbo. Tutegemee nini!
 
tunajua wazi chuki yenu ya asili mnapoona majina kama haya, hamridhiki ila mnakunja nyoyo zenu... Bahati mbaya nao ni watanzania tena wenye haki zote kuishi tanzania hii

Issue ni uwajibikaji kwa kufuata utawala wa sheria, pamoja na ethics za uongozi, cha kushangaza majina yanakuwa ktk mtiririko unaoutetea wewe kwamba yanashindwa kuzingatia uwajibikaji kwa kufuata ethics tukianza na baba mwenye nyumba, cha maana tukubari kwamba rangi ya mkaa ni nyeusi lakini unapotaka kuibadili na kusema ni blue shughuli ndo inaanzia hapo.
 
Hakika Mwislamu anaye support Chadema anajitafutia laana mbele ya Mungu wake.Pro Chadema kila kukicha wao ni kuutukana uislamu na Waislamu.Leo hii Mwislamu ukishabikie hiki chama cha kidini itakuwa hajitambui
hawa kina alhaji wanamatatizo gani mtu akitoka kuhiji na akili zinapungua
 
mkiambiwa tushawajua chadema ni kanisa mnabisha sasa hapa utajificha wapi?

HAYA YOTE SI MLITUMWA KUYASEMA NA MAKAMBA?... 2015 wewe utarudi CUF kupigia kura mwislamu mwenzako, na kuiacha CCM unayoishabikia leo kwa uwepo wa JK. Akimaliza muda wake na mkristo kuchukua nafasi yake HUTABAKI SISIEMU. kama wewe siyo mnafiki kataa hili.
 
Hakika Mwislamu anaye support Chadema anajitafutia laana mbele ya Mungu wake.Pro Chadema kila kukicha wao ni kuutukana uislamu na Waislamu.Leo hii Mwislamu ukishabikie hiki chama cha kidini itakuwa hajitambui

Ukiona mwislamu yuko CCM ujue kafuata mfumo islamu na maslahi,.. na 2015 anarudi kwenye chama cha dini yake - CUF (CHAMA CHA UISLAMU FIKA).
 
Na majumbani kwao wanalindwa pia ama ni wakati wa vikao pekee, na kama sivyo wanadhani hao wanachadema hawapajui wanapokaa kweli.

Duh pesa za walipa kodi zinatumiwa vibaya, nadhani hata zenyewe zinajuta japo hazisemi.
 
tunajua wazi chuki yenu ya asili mnapoona majina kama haya, hamridhiki ila mnakunja nyoyo zenu... Bahati mbaya nao ni watanzania tena wenye haki zote kuishi tanzania hii

Ni kweli wenye majina kama hayo ni matatizo kote ulimwenguni wanajulikana.
 
Back
Top Bottom