BAVICHA Ilemela wawabana masalia wa Matata

BAVICHA Ilemela wawabana masalia wa Matata

Nyarongi

Member
Joined
Dec 23, 2012
Posts
19
Reaction score
6
Habari kutoka ILEMELA zinasema kuwa BAVICHA wamejipanga kusafisha wasaliti wote ndani ya baraza na chama kwa ujumla. Wa kwanza kushughulikiwa ni Mwenyekiti wa BAVICHA wa Wilaya SABINI RICHARD. Huyu Bw anatuhumiwa kumsindikiza Chagulani kwenda kufungua kesi dhidi ya chama, pia alimsindikiza Matata kwenye mkutano wake na waandishi wa habari baada ya [MATATA] kuwa amefukuzwa uanachama.

Tena inasemwa amekuwa akivuruga vikao vya kamati ya wilaya kwa kulazimisha rafiki yae J. ANAJUS arejeshwe kwenye nafasi ya ukatibu wa Wilaya ya Ilemela.

Juzi kwenye kikao alipobanwa alijitetea kuwa Matata ni rafiki wa mjomba wake aitwaye Costantine Kanyasu [DC wa Ngara] ambapo alisema hawezi kumsaliti Mjomba wake kwa ajili ya BAVICHA kwani BAVICHA sio baba wala mama yake. Kauli hiyo iliwaudhi wajumbe na wakaazimia uitishwe mkutano muu ili wakamg'oe yeye na wenzake akiwemo John Anajus.

Sisi tunatega masikio.
 
Safi CHADEMA safisheni kila salia lililobaki, naona kasi haitoshi. Lini mnawafukuza Zitto na Shibuda?
 
Kama hiki chama kina wasaliti wengi namna hii wangepewa nchi 2010 si ingekuwa balaa!!!
Watanzania walifanya maamuzi ya maana sana kutokuichagua chadema 2010. Mungu awaongoze waendelee kuchagua wisely...
 
Hivi wewe gamba huwa una piga mswaki kweli?

Hapana huwa sipigi, turudi kwenye mada, lini masalia walioko juu wanaondoka? Shibuda na Zitto ndio waasisi wa kundi la vijana wasaliti na kuna ushahidi wa kutosha lini wanasafishwa CDM?
 
CCM imewashinda hiyo ya kufukuzana. Inabidi tuwe wasafi kwelikweli. Fukuza wote masalia
 
Hapana huwa sipigi, turudi kwenye mada, lini masalia walioko juu wanaondoka? Shibuda na Zitto ndio waasisi wa kundi la vijana wasaliti na kuna ushahidi wa kutosha lini wanasafishwa CDM?
hao uliwataja kama uliwajua vp kama ni masalia?mambo ya Chadema na wewe gamba wapi na wapi?Acheni umbea tuokoe taifa letu linaangamia,tuambieni ni nani anawamaliza tembo wetu na mambo mengine machafu....
 
hao uliwataja kama uliwajua vp kama ni masalia?mambo ya Chadema na wewe gamba wapi na wapi?Acheni umbea tuokoe taifa letu linaangamia,tuambieni ni nani anawamaliza tembo wetu na mambo mengine machafu....
Kama hujui nalipa kodi inayotumika kulipa ruzuku za vyama nina kila haki kuhoji matumizi ya ruzuku yangu kulipwa Masalia kina Zito na Shibuda, wachukulieni hatua haraka sana.
 
safi sana safisheni masalia wote ndani ya chama.
 
Kama hiki chama kina wasaliti wengi namna hii wangepewa nchi 2010 si ingekuwa balaa!!!
Watanzania walifanya maamuzi ya maana sana kutokuichagua chadema 2010. Mungu awaongoze waendelee kuchagua wisely...



2010 mulishinda??
 
Kama hiki chama kina wasaliti wengi namna hii wangepewa nchi 2010 si ingekuwa balaa!!!
Watanzania walifanya maamuzi ya maana sana kutokuichagua chadema 2010. Mungu awaongoze waendelee kuchagua wisely...

Wewe; hujui hao ni watu wenu wanaumbuka diyo maana wanaitwa masalia. Yaani ni masalia ya CCM. Ndio waliotumika kupora ushindi wa CDM 2010. Watang'oka wote hata kama wewe ni mmoja wao utabainikatu.
 
Kama hujui nalipa kodi inayotumika kulipa ruzuku za vyama nina kila haki kuhoji matumizi ya ruzuku yangu kulipwa Masalia kina Zito na Shibuda, wachukulieni hatua haraka sana.
kweli masisiem vilaza,ndio maana aliyewaloga kafa,unalalamikia kodi yako kulipa ruzuku ya vyama,magamba yanadaka sh. ngapi?yaani kodi yako ulichoona ni ruzuku ya vyama tu,nikuulize swali,umeoga wewe?maji uliyokunywa ni safi na salama?juzijuzi uliumwa taifodi ulipoenda hospital ulipata matibabu ya uhakika?Ama kwa hakika mmejidhihirisha mlivyo mambulula...poor masisiem!!!!
 
Hii sacoos burudani tosha kila mtu anayepengana na hoja zao ni msaliti au masalia.Iko siku hata mwenyekiti wenu mtamwita masalia hata Kama wa kaskazini
 
kweli masisiem vilaza,ndio maana aliyewaloga kafa,unalalamikia kodi yako kulipa ruzuku ya vyama,magamba yanadaka sh. ngapi?yaani kodi yako ulichoona ni ruzuku ya vyama tu,nikuulize swali,umeoga wewe?maji uliyokunywa ni safi na salama?juzijuzi uliumwa taifodi ulipoenda hospital ulipata matibabu ya uhakika?Ama kwa hakika mmejidhihirisha mlivyo mambulula...poor masisiem!!!!
Hayo nayo ni muhimu kuyajadili ila inabidi tutafutie mahala pake, kwa sasa ili tusije kupoteza muelekeo wa uzi huu tujikite zaidi kwenye Kufukuza masali, LINI WALE WAAASISI WA MASALIA watafukuzwa CHADEMA?
 
Hayo nayo ni muhimu kuyajadili ila inabidi tutafutie mahala pake, kwa sasa ili tusije kupoteza muelekeo wa uzi huu tujikite zaidi kwenye Kufukuza masali, LINI WALE WAAASISI WA MASALIA watafukuzwa CHADEMA?
Usitake kukwepa mambo mazito ya taifa hili,tembo wetu wanaisha kila kukicha,meli za kinana zinabeba kupeleka huko duniani hili halikuumi?
 
Hapana huwa sipigi, turudi kwenye mada, lini masalia walioko juu wanaondoka? Shibuda na Zitto ndio waasisi wa kundi la vijana wasaliti na kuna ushahidi wa kutosha lini wanasafishwa CDM?

Usiumize kichwa they are just awaiting for the natural death on 2015.
 
Back
Top Bottom