Recent content by nyaroberi_ycj

  1. nyaroberi_ycj

    Tafadhali Shilole usinunue Rolls Royce

    Atanunuaje hiyo gari wakati hela ya kununua mtori[emoji28][emoji28][emoji1787]tu ni changamoto kwake
  2. nyaroberi_ycj

    IGP & RPC Kagera ondoa pandikizi huyu

    Naomba picha yake basi,,Mimi mwenyewe ni Tiss wa ukwel namba yake ya kazi pia na majina yake kamili
  3. nyaroberi_ycj

    Msaada: Hili jiwe la kawaida au ni aina ya madini?

    Nikutumie namba ya Mzee Laizer???
  4. nyaroberi_ycj

    History and mission of JESUITS to USA Part 3

    No comment sir[emoji848][emoji848][emoji848]
  5. nyaroberi_ycj

    Diamond ana degree ya uongo

    Kwetu sisi watu wa kanda ya ziwa maana ya UK ni ukerewe visiwani[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]
  6. nyaroberi_ycj

    Alikiba kwa Hali hii hauwezi kuwa wa kimataifa unatuletea kwaya

    Mkubwa acha wivu wa kike basi ule wimbo unatisha...au utakua umetumwa wewe
  7. nyaroberi_ycj

    Good News: Diamond Platnumz Studio na Snoop Dogg

    Kwa hiyo yeye huwa anapewa bilauri(glass ya kupigia picha kila mahali
  8. nyaroberi_ycj

    Orodha ya ndoto (karibia zote) na maana yake

    Hivi hadi siku hizi watu wapo wanao ota??mimi sioti ndoto yeyote yani,, huwa nalala kama saa moja tu basi Sijui ndoto ikoje kabisa wakuu
  9. nyaroberi_ycj

    East Africa capital cities: Dodoma vs Nairobi

    Nairobi ndio Dubai ya East na central Africa whether you like it or not
  10. nyaroberi_ycj

    Idara ya uhamiaji itoe namba ya simu tuweze kuripoti taarifa za wahamiaji haramu nchini

    Sisi wafrika no wamoja watu waachwe tu ilimradi wavunje sheria zingine za nchi
  11. nyaroberi_ycj

    Asante Simbachawene kwa ufafanuzi kuhusu wakimbizi wa Msumbiji

    Tatizo Tz huwa tunaogopa hadi kimvuli chetu[emoji16][emoji16]
  12. nyaroberi_ycj

    Kwanini Rais Mstaafu Kikwete akiongea Kiingereza hatetemeki?

    Kwa hivo wewe mtoa post ulikua unataka atetemeke ili iweje au kulikua na baridi[emoji1787][emoji1787]
  13. nyaroberi_ycj

    Rais Samia, unawajua Wakenya?

    Ndugu ipo siku utaogopa hata kinvuli chako mwenywe
  14. nyaroberi_ycj

    Rais Samia Suluhu ahutubia Mabunge ya Kenya: Biashara kushamiri, Vikwazo Mipakani kutatuliwa, Udugu kudumishwa

    Kwani job ndugai yeye anasemaje kuhusu hiyo democrasia bungeni?
  15. nyaroberi_ycj

    Ben Pol aomba Talaka Mahakamani dhidi ya Mke wake Anerlisa

    Bora tu mkuu ungeandika kiswahili [emoji16][emoji1787]hapa nilipo sina mbavu na hicho ki-English chako cha tuition
Back
Top Bottom