Hiyo ndiyo wazungu wanaita public sentiment ambayo hutengenezwa na watu kwa maslahi yao. Wakati unahangaika kuuzima moto wa uzushi huo wao wanafanya yao.
Uko mpinzani lakini onesha adabu angalau kidogo hii ndo sababu kubwa walimu huchukia wapinzani kwa sababu ya lugha yao kwa walimu wao. Kwanza inakuwaje mpaka uwatukane walimu? Halafu mpewe nchi. Really? Naamini hamtakuwa serious!
Uko sahihi mkuu na hata hayo mateso hawajayapata walimu. Shida ni pale mtu anapotaka kutyaminisha walimu ndo watumishi wa umma wenye hali mbaya kitu ambacho si kweli. Na nashindwa kuelewa inapokuja agenda yoyote inayohusu wafanyakazi wa Umma wachangiaji wote wanakimbilia kwa walimu. Kutakuwa na...
Acha kututukana kijana walimu wako. Huwezi kumzidi busara mwalimu wako. Tafuta mbinu ya kushawishi na sio hii ya kuita walimu mazezeta ambao kimsingi ni wazazi wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.