Huku niliko kwenyewe ni Mkurugenzi,lakini nataka nirudi kwenye Agency kama TASAF ndio maana walipotangaza nafasi mwezi April niliomba,ukitaka kujua ni nafasi ya Director of Knowledge Management and Advocacy,Usaili ni tarehe 30 na 31 IFM, Dar
Siwatishi nawaambia ukweli,nauli kutoka Kigoma mpaka Dar ni 80,000 hivyo ni 160,000,nikijumlisha na Lodge,Chakula kwa siku tatu na mengineyo maana yake Laki Tatu yangu inaenda kutumika kwa Usaili huo,halafu wawe wana mtu wao tayari itakuwa ni uhuni,hakika wasipotenda Haki NITAWAROGA
Wana JF Salaam,
Naenda kwenye Usaili TASAF Dar es Salaam weekend hii. Usaili ni Jumatatu na Jumanne wiki ijayo(nafasi ni Ukurugenzi wa Idara moja pale TASAF). Kwa kuwa nasafiri umbali mrefu kutoka huku Kigoma mwisho wa Reli mpaka Dar, natumia gharama kubwa.
Nimejiandaa vizuri, lakini nina...
Kuwa makini na Maofisa wa NSSF watakaokwambia toa Pesa kwanza kisha ndio tutashughulikie suala lako,waambie washughulikie,Pesa ikitoka ndio utawapa,sasa jidanganye kuwapa kitu kidogo kwanza,utalia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.