Recent content by nyapae

  1. nyapae

    Kuomba Bank statement ina cost fedha?

    Mwezi mmoja ni sh elfu 2, Sasa utalipa kulingana na idadi ya miez unayotaka, hiyo ela hulipi cash, inakatwa kwenye account yako
  2. nyapae

    Bodi ya Mikopo yafafanua kuhusu Wanafunzi waomba mikopo wanaokwama kujaza taarifa za NaPA

    Kwa mtendaji wa mtaa, wako, Nenda ofisi ya kata utawakuta watakupa details zote, ni rahisi tu, usiwe na wasiwasi
  3. nyapae

    Bodi ya Mikopo yafafanua kuhusu Wanafunzi waomba mikopo wanaokwama kujaza taarifa za NaPA

    Muombe mwenye nyumba jina lake kamili na no. ya nyumba hapo mnaoishi, then wazazi wako na ww mtasajiliwa kama wapangaji wa huyo mwenye nyumba, then utaendelea na mchakato wako, Ila kama mwenye nyumba hajasajiliwa inabidi afanye hivyo halafu awasajili nyie kama wapangaji
  4. nyapae

    Huu ujumbe wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) una maana gani?

    hv hiz ela za boom wanapewa zote kwa mkupuo au utaratibu ni upi?
  5. nyapae

    HESLB yatangaza orodha ya pili wanufaika 2024/2025

    mwisho upi, wa batch zote au ni vp, maana mi hata sielewi, kwan ukikosa mkopo wanaandikaje?
  6. nyapae

    HESLB yatangaza orodha ya pili wanufaika 2024/2025

    kwenye accnt ya SIPA ya binti yangu imeandikwa no approved Allocation, hii ina maana gani? amekosa au?
  7. nyapae

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    nimeichukia hii story kwa dharau unazomfanyia mama j, kweli mwanaume akipata pesa ndo utajua tabia yake halisi. Nasubir nione unafiki wa Irene atakapoachwa mama j
  8. nyapae

    Natafuta mme msabato(seventh day adventist)

    Mmh! Naomba tuwe wastarabu, nitukaneni mm niliyeweka post hii, ila si kuanza kutoa maneno ya karaha kwa dhehebu la wasabato au wanaume wa kisabato. Umalaya ni tabia ya mtu na kila dhehebu au dini kuna wanaume malaya, kama unaona post haiko sawa, ni vizuri kushauri kwa lugha nzuri bila kuumiza...
  9. nyapae

    Natafuta mme msabato(seventh day adventist)

    Asanten sana, mbarikiwe
  10. nyapae

    Natafuta mme msabato(seventh day adventist)

    Sihitaji mme jamani, nilikuwa nafanya utafiti na sasa umekamilika, Asante kwa wote mlokuja PM.
  11. nyapae

    Lupita Nyong'o and Flaviana Matata

    sasa nimeelewa kwann wanawake wana hangaika kujipiga deki, yan wanaume wengi hapa mmeponda weusi na kuhusianisha na ubaya, loh! kaz kwelikweli
  12. nyapae

    Ukikutana na mwanamke mchafu anakuwa mchafu kweli

    mwambie amwambie awe ana hakikisha kwapa lake halina nywele, afanye waxing kama anaweza, halafu kila cku asubuhi na jioni awe ana nawia maji ya ukoko wa ugali, pia anywe maji mengi, ndani ya mwez kikwapa kitaisha
  13. nyapae

    I need a friends to chart with on whats app,comment ur no# i will text you.lets share pics & videos

    hahahaha! mkuu huyu atakuwa form 4 maana form 6 wako jkt, tuvumilie tu kidogo kuanzia mwez ujao wata join form 5
Back
Top Bottom