Muombe mwenye nyumba jina lake kamili na no. ya nyumba hapo mnaoishi, then wazazi wako na ww mtasajiliwa kama wapangaji wa huyo mwenye nyumba, then utaendelea na mchakato wako, Ila kama mwenye nyumba hajasajiliwa inabidi afanye hivyo halafu awasajili nyie kama wapangaji
nimeichukia hii story kwa dharau unazomfanyia mama j, kweli mwanaume akipata pesa ndo utajua tabia yake halisi.
Nasubir nione unafiki wa Irene atakapoachwa mama j
Mmh! Naomba tuwe wastarabu, nitukaneni mm niliyeweka post hii, ila si kuanza kutoa maneno ya karaha kwa dhehebu la wasabato au wanaume wa kisabato.
Umalaya ni tabia ya mtu na kila dhehebu au dini kuna wanaume malaya,
kama unaona post haiko sawa, ni vizuri kushauri kwa lugha nzuri bila kuumiza...
mwambie amwambie awe ana hakikisha kwapa lake halina nywele, afanye waxing kama anaweza, halafu kila cku asubuhi na jioni awe ana nawia maji ya ukoko wa ugali, pia anywe maji mengi, ndani ya mwez kikwapa kitaisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.