Recent content by Nyanswe Nsame

  1. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Cosmas Bulala atuhumiwa kuanza kampeni jimbo la Kwimba

    COSMAS BULALA ATUHUMIWA KUANZA KAMPENI JIMBO LA KWIMBA Kampeni za kisiasa zimepamba moto katika jimbo la Kwimba mkoani Mwanza baada ya wagombea ndani ya chama cha mapinduzi CCM kuanza kupigana vikumbo. Watia nia mbalimbali wameanza kupita ndani ya jimbo hilo wakionyesha dalili za kulitaka...
  2. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania Utapeli unaofanywa na Kampuni ya Songoro Marine wawekwa hadharani

    Soma uelewe mkuu hakuna kusagiana kunguni, jamaa alikuwa mfanyakazi wa Songoro marine akaacha kazi, ila kampuni ya Songoro ikaendelea kutumia documents zake kuomba zabuni maeneo mengi tu, jamaa akafahamu akamueleza Songoro akakiri kosa lake, PPRA nao wamekiri hilo jambo.
  3. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania Utapeli unaofanywa na Kampuni ya Songoro Marine wawekwa hadharani

    UTAPELI UNAOFANYWA NA KAMPUNI YA SONGORO MARINE WAWEKWA HADHARANI Kampuni ya Songoro Marine ya Ilemela jijini Mwanza inakabiliwa na tuhuma za kujipatia zabuni tatu za kujenga meli katika maeneo mbalimbali hapa nchini bila kuwa na sifa zinazohitajika kitendo ambacho kinatajwa ni cha uhujumu...
  4. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania Utapeli unaofanywa na Kampuni ya Songoro Marine wawekwa hadharani

    Kampuni ya Songoro Marine ya Ilemela jijini Mwanza inakabiliwa na tuhuma za kujipatia zabuni tatu za kujenga meli katika maeneo mbalimbali hapa nchini bila kuwa na sifa zinazohitajika kitendo ambacho kinatajwa ni cha uhujumu uchumi. Kampuni hiyo inayomilikiwa na Major Songoro ni miongoni mwa...
  5. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania Wizara ya uchukuzi na kampuni kikorea matatani, madeni yawaandama

    WIZARA YA UCHUKUZI, KAMPUNI YA KICHINA MATATANI, MADENI YAWAANDAMA WIZARA ya Uchukuzi kwa kushirikiana na kampuni ya KICHINA ya China Railway 15 Bureau Group corporation (CR15G) inatuhumiwa kuvunja mkataba na kampuni ya AQARIAN Project Solutions walioingia kujenga na upanuzi gati (kina)...
  6. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Angelina Mabula atuhumiwa kutengeneza mpasuko CCM, ubadhirifu watajwa

    ANGELINA MABULA ATUHUMIWA KUTENGENEZA MPASUKO CCM, UBADHIRIFU WATAJWA Mbunge wa jimbo la Ilemela mkoani Mwanza, Angelina Mabula ameingia katika vita kubwa na viongozi wenzake wa Chama cha mapinduzi ccm kutokana na kuendesha genge la vijana wahuni wanaotukana na kuanzisha fujo katika mikutano ya...
  7. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania Miradi ya Meli, SGR na Maji yakwama Mwanza, pesa zinapigwa na Serikali yagoma kupeleka pesa

    Sahihi, wachina wakiona viongozi na ziara uchwara wanaanza kuonekana 'site'
  8. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania Miradi ya Meli, SGR na Maji yakwama Mwanza, pesa zinapigwa na Serikali yagoma kupeleka pesa

    Miradi ya Meli, SGR na Maji yakwama Mwanza, pesa zinapigwa na Serikali yagoma kupeleka pesa Miradi mikubwa mitatu ya kimkakati iliyopo jijini Mwanza iliyoanzishwa na Serikali ya awamu ya tano chini ya hayati John Pombe Magufu, imekwama kutokana na ukosefu wa fedha. Miradi iliyokwama ni pamoja...
  9. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania Kanda ya ziwa sukari imeisha, msambazaji mkuu anyimwa mzigo na Kagera Sukari

    Kanda ya ziwa sukari imeisha, msambazaji mkuu anyimwa mzigo Hali ya upatikanaji wa sukari katika mikoa ya kanda ya ziwa ni tete, baada ya kiwanda cha Kagera kukataa kumuuzia Sukari msambazi mkuu kampuni ya V.H SHAH. Inaelezwa Msambazi wa sukari kanda ya ziwa amenyimwa sukari na kiwanda hicho...
  10. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania AMRAN BATENGA aingilia mgogoro, SHERALY amuingiza mkenge apewa ahadi uenyekiti wa bodi shule ya Thaqaafa na msikiti wa Ijumaa

    AMRAN BATENGA aingilia mgogoro, SHERALY amuingiza mkenge apewa ahadi uenyekiti wa bodi shule ya Thaqaafa na msikiti wa Ijumaa Katika namna ya pekee sana leo nimeandika makala ya kipekee kuwaenzi wazee wa kiislamu wa jiji la Mwanza, Wazee ambao maisha yao yameacha athari njema na nuru ya uislamu...
  11. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wa kiwanda cha Nondo Sayona walipukiwa na uji wa moto

    Wafanyakazi wa kiwanda cha Nondo Sayona walipukiwa na uji wa moto Wafanyakazi 18 wa kiwanda cha Nondo cha Sayona kilichopo Usagara wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza, wamejeruhiwa na mlipuko wa moto uliotokea kiwandani hapo oktoba 9, 2023, baada ya kinu cha uji wa moto kulipuka ambapo waliokuwa...
  12. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania Katibu UVCCM azuia mkutano wa vijana uliokusudia kumpongeza Rais Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Mwanza Ramadhani Omary Amez

    Katibu UVCCM azuia mkutano wa vijana uliokusudia kumpongeza Rais Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Mwanza Ramadhani Omary amezuia mkutano wa chama hicho wenye lengo la kuipongeza Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongizwa na Mheshimiwa Rais Samua Suluhu...
  13. Nyanswe Nsame

    JamiiForums Tanzania Sherali na wenzake kukifilisi kituo cha yatima Ilemela, watataka walipwe Milioni 78

    Shekh Sherali kukifilisi kituo cha yatima Ilemela, atataka alipwe Milioni 78 Sakata la Sherali na kituo cha watoto yatima cha Ilemela Mwanza linazidi kuwatia mashakani watoto yatima wanaolelewa na kituo hicho cha Ilemela Yatima Islamic Foundation jijini Mwanza. Mashaka makubwa kwa watoto hawa...
Back
Top Bottom