Nilikuwa naangalia kwenye mfumo Fulani wa kazi maalum nikakutana na majina 200 yanayoishia na MWITA na kuanza ( last name &first). Hawa nao ni ndugu ??????
Unajichanganya, ulilipa hiyo hela tanesco? Toa risiti.
Njoo na facts hapa.
La sivyo utakuwa umetumwa na mlengo ule wa kushoto unaochukia mradi mkubwa wa stiglaji gooji.
Wana chademu utawajua tu hawafurahii mafanikio ya awamu ya 5.
Baba yako kalifanyia nini taifa? Angepewa madaraka ya kusimamia watu mill 55 angeweza?
Familia ya watoto 3 inamshinda na kwenda kulala bar ,sembuse watu 55 mill???
Na Amiri kilagalila-Njombe
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Mwita waitara amewaonya wanaccm wanaoendelea kukihujumu chama cha mapinduzi angali bado ni wanachama huku wakijua hawakitendei haki chama hicho.
Waitara akiwa mkoani Njombe amesikitishwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.