Sasa nimeiona tofauti ya JWTZ na majeshi mengine.

Sasa nimeiona tofauti ya JWTZ na majeshi mengine.

MKEHA

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
716
Reaction score
1,144
Ninayaheshimu majeshi yote ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania yakiwemo Police, Magereza, Uhamiaji, Zima moto na TISS, lakini kusema kweli walichokifanya JWTZ pale Ukonga kimenifanya niende mbali sana.

Baada ya Rais Magufuli kuona ule ujenzi una suasua akaingilia kati kwa kutoa wito kwa JWTZ kuchukua tenda ile na wajenge nyumba zile za gorofa ili mradi ukamilike na askari magereza wawezee kuishi pale na familia zao.

Magereza walichukua muda mwingi sana huku kazi ikilala, sijui kama walikosa rasilimali fedha ama vipi.

Kufumba na kufumbua leo nimepita Ukonga kweli nimeshangaa sana baada ya kuona majengo marefu meupe yakiwa yameota kama uyoga.

Hapo ndipo nikajiuliza kwanini Magereza walishindwa kumalizia mradi pamoja na kupewa muda mrefu, halafu JWTZ with no time vitu vimesimama tena kwa muda mfupi
 
Jibu ni moja tu, "Nidhamu iliyotukuka".
Ninayaheshimu majeshi yote ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania yakiwemo Police, Magereza, Uhamiaji, Zima moto na TISS, lakini kusema kweli walichokifanya JWTZ pale Ukonga kimenifanya niende mbali sana.
Baada ya Rais Magufuli kuona ule ujenzi una suasua akaingilia kati kwa kutoa wito kwa JWTZ kuchukua tenda ile na wajenge nyumba zile za gorofa ili mradi ukamilike na askari magereza wawezee kuishi pale na familia zao.
Magereza walichukua muda mwingi sana huku kazi ikilala, sijui kama walikosa rasilimali fedha ama vipi.
Kufumba na kufumbua leo nimepita Ukonga kweli nimeshangaa sana baada ya kuona majengo marefu meupe yakiwa yameota kama uyoga.
Hapo ndipo nikajiuliza kwanini Magereza walishindwa kumalizia mradi pamoja na kupewa muda mrefu, halafu JWTZ with no time vitu vimesimama tena kwa muda mfupi
 
Wamejitahidi ila kwenye suala la muda umezingua na kusema yameota kama uyoga umezingua sababu mpaka TBA wanasimamishwa hayo majengo yalishasimama ikiwa slab zote zimemwagwa kama sijakosea
 
Ninayaheshimu majeshi yote ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania yakiwemo Police, Magereza, Uhamiaji, Zima moto na TISS, lakini kusema kweli walichokifanya JWTZ pale Ukonga kimenifanya niende mbali sana.

Baada ya Rais Magufuli kuona ule ujenzi una suasua akaingilia kati kwa kutoa wito kwa JWTZ kuchukua tenda ile na wajenge nyumba zile za gorofa ili mradi ukamilike na askari magereza wawezee kuishi pale na familia zao.

Magereza walichukua muda mwingi sana huku kazi ikilala, sijui kama walikosa rasilimali fedha ama vipi.

Kufumba na kufumbua leo nimepita Ukonga kweli nimeshangaa sana baada ya kuona majengo marefu meupe yakiwa yameota kama uyoga.

Hapo ndipo nikajiuliza kwanini Magereza walishindwa kumalizia mradi pamoja na kupewa muda mrefu, halafu JWTZ with no time vitu vimesimama tena kwa muda mfupi
kwanini hujawahi kujiuliza kuwa maana ya CDF ni Chief Of Defence Forces????maana yake ni mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama,yapi hayo wakati kuna IGP,general wa magereza,generali wa uhamiaji,zimamoto,takukuru nk nk??????viva jwtz,,,,zipo rasilimali watu kwa kila taaluma kule,,,,,,,,nidhamu maiki ndo chanzo cha mafanikio ya operations na missions zote,mungu alibariki jeshi la wananchi wa tanzania
 
Ninayaheshimu majeshi yote ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania yakiwemo Police, Magereza, Uhamiaji, Zima moto na TISS, lakini kusema kweli walichokifanya JWTZ pale Ukonga kimenifanya niende mbali sana.

Baada ya Rais Magufuli kuona ule ujenzi una suasua akaingilia kati kwa kutoa wito kwa JWTZ kuchukua tenda ile na wajenge nyumba zile za gorofa ili mradi ukamilike na askari magereza wawezee kuishi pale na familia zao.

Magereza walichukua muda mwingi sana huku kazi ikilala, sijui kama walikosa rasilimali fedha ama vipi.

Kufumba na kufumbua leo nimepita Ukonga kweli nimeshangaa sana baada ya kuona majengo marefu meupe yakiwa yameota kama uyoga.

Hapo ndipo nikajiuliza kwanini Magereza walishindwa kumalizia mradi pamoja na kupewa muda mrefu, halafu JWTZ with no time vitu vimesimama tena kwa muda mfupi
hakuna JWTZ anaejenga hapo serikali imeajiri wachina kimya kimya[emoji41]
 
Kama hujui ni Bora ukae kimya tu mkuu wangu!!!Na hutapungukiwa kitu!!
 
Ninayaheshimu majeshi yote ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania yakiwemo Police, Magereza, Uhamiaji, Zima moto na TISS, lakini kusema kweli walichokifanya JWTZ pale Ukonga kimenifanya niende mbali sana.

Baada ya Rais Magufuli kuona ule ujenzi una suasua akaingilia kati kwa kutoa wito kwa JWTZ kuchukua tenda ile na wajenge nyumba zile za gorofa ili mradi ukamilike na askari magereza wawezee kuishi pale na familia zao.

Magereza walichukua muda mwingi sana huku kazi ikilala, sijui kama walikosa rasilimali fedha ama vipi.

Kufumba na kufumbua leo nimepita Ukonga kweli nimeshangaa sana baada ya kuona majengo marefu meupe yakiwa yameota kama uyoga.

Hapo ndipo nikajiuliza kwanini Magereza walishindwa kumalizia mradi pamoja na kupewa muda mrefu, halafu JWTZ with no time vitu vimesimama tena kwa muda mfupi

Subiri kidogo; Mwenyezi Mungu Muumba Mbingu na Nchi akitupa uhai na uzima utajionea mwenyewe sababu.
 
kwanini hujawahi kujiuliza kuwa maana ya CDF ni Chief Of Defence Forces????maana yake ni mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama,yapi hayo wakati kuna IGP,general wa magereza,generali wa uhamiaji,zimamoto,takukuru nk nk??????viva jwtz,,,,zipo rasilimali watu kwa kila taaluma kule,,,,,,,,nidhamu maiki ndo chanzo cha mafanikio ya operations na missions zote,mungu alibariki jeshi la wananchi wa tanzania
Mkuu wa Majeshi na Sio Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama
Pambaf kabisa
 
Ninayaheshimu majeshi yote ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania yakiwemo Police, Magereza, Uhamiaji, Zima moto na TISS, lakini kusema kweli walichokifanya JWTZ pale Ukonga kimenifanya niende mbali sana.

Baada ya Rais Magufuli kuona ule ujenzi una suasua akaingilia kati kwa kutoa wito kwa JWTZ kuchukua tenda ile na wajenge nyumba zile za gorofa ili mradi ukamilike na askari magereza wawezee kuishi pale na familia zao.

Magereza walichukua muda mwingi sana huku kazi ikilala, sijui kama walikosa rasilimali fedha ama vipi.

Kufumba na kufumbua leo nimepita Ukonga kweli nimeshangaa sana baada ya kuona majengo marefu meupe yakiwa yameota kama uyoga.

Hapo ndipo nikajiuliza kwanini Magereza walishindwa kumalizia mradi pamoja na kupewa muda mrefu, halafu JWTZ with no time vitu vimesimama tena kwa muda mfupi
Magereza hawana Idara ya Ujenzi
JWTZ Wana SUMA JKT
 
Jeshi uchwara ,ambalo sasa hivi limekubali kuingizwa kwenye siasa za majitaka .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom