kaka nimekuelewa, kiujumla matokeo ya shule yetu haya kuwa mazuri , pia sababu iliyochangia mimi kufeli ni kupuuzia masomo kidato cha tatu na kuzidisha michezo baasi. Asante
Jamani kwa kweli mimi nina Division four ya point 30 hivyo familia imeamuru ni rudie mtihani.
Naomba msaada ivi ufaulu unaanzia ngap kwa mtu anaye risit yani D inaanza na ngapi mpaka C,
shule zipi ni bora kwa mikoa ya iringa na mbeya
Habari iliyopo hapa wilayani MAKETE ni Juu ya askari polisi kumuua mwalimu wa shule ya msingi,
Taarifa zinasema kuwa mwaalimu huyo aliuliwa jana usiku mida ya 2:30 na askali walio kuwa zamu kwenye bank ya NMB aidha Jeshi la polisi halijatoa ufafanuz wowote ule bali ndugu wa marehem wameambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.