Recent content by Nyangi Marwa Chacha

  1. N

    Tumuunge mkoono Muhongo, kwa maendeleo endelevu ya jimbo la Musoma vijijini

    Wewe fala kweli kweli ulisikia ameiba pesa au
  2. N

    Gazeti Jamhuri: Ridhiwani ndie mtoto wa kigogo kwenye list ya tatu; sasa nae kuchunguzwa

    Muache unafiki kwani kama kuna kosa lisishugulikiwe? Nyie nao na unafiki wenu hadi aibu
  3. N

    Kwa hapa Yanga na Ukristo vyote havihusiki...jinasue nyinyi wenyewe wahusika.

    Nikweli kabisa ndugu wanajifanya kunificha kwenye nyuma ya vyeo vyao
  4. N

    Gwajima na Manji wananikumbusha yaliyotokea nchini Jamaica

    Ndugu unamanisha kuwa klabu ya Yanga ndiyo iliyomtuma Manji afanye biashara hiyo au
  5. N

    Nasema Hivi, Bunge Lina Mapapa Wa Madawa ya Kulevya, Na Mimi Niitwe Kamati Ya Maadili Ya Bunge,

    Wabunge hawa wanaboa sana sijawahi kuona watu wanafiki kama hawa waheshimiwa tangia nianze kuangalia bunge kila mara kwa mara huwa wanasema kuwa tunawajua wanaojihusisha na madawa ya kulevya mbona mbaka leo hawajatajwa kwa nini mkuu wa mkoa wa Dar mheshimiwa Makonda awataje yeye ambao anawajua...
  6. N

    Hakuna sehemu Makonda amedharau au kulikashifu bunge hizi ni chuki lakini watashindwa

    Tatizo nchi hii tumejaa wanafiki sana kweli jana kosa gani Makonda amesema mimi nahisi wabunge wameamua tu kumkomalia Makonda ili asiendelee kutaja majina ya wauza unga namuomba rais wetu kipenzi cha Tanzania awe makini na hawa wanafiki
  7. N

    Kwa uamuzi huu wa RC na DC kuitwa kujitetea kwenye mhimili wa bunge Mtemi Chenge kakosea

    Kadhalau nini kwani si kweli kuwa wabunge huwa wanalala au kwa vile wameazwa kutajwa na wabunge wanaamua kumvunja ngumu? Tuna viongozi wanafiki sana mimi sijaona Makonda kakosea wapi na hapaswi kwenda kuhojiwa bungeni
  8. N

    Vita dhidi ya Dawa za Kulevya awamu ya Pili: RC Makonda awataja Mbowe, Manji, Gwajima, Idd Azzan...

    Mkuu mbona unalalamika kama unajua wataje uache unafiki wako
  9. N

    Mzee kaenda Shinyanga na mvua ya mawe yanyesha

    Kweli kabisa umemaliza kiongozi
Back
Top Bottom