Wabunge hawa wanaboa sana sijawahi kuona watu wanafiki kama hawa waheshimiwa tangia nianze kuangalia bunge kila mara kwa mara huwa wanasema kuwa tunawajua wanaojihusisha na madawa ya kulevya mbona mbaka leo hawajatajwa kwa nini mkuu wa mkoa wa Dar mheshimiwa Makonda awataje yeye ambao anawajua...
Tatizo nchi hii tumejaa wanafiki sana kweli jana kosa gani Makonda amesema mimi nahisi wabunge wameamua tu kumkomalia Makonda ili asiendelee kutaja majina ya wauza unga namuomba rais wetu kipenzi cha Tanzania awe makini na hawa wanafiki
Kadhalau nini kwani si kweli kuwa wabunge huwa wanalala au kwa vile wameazwa kutajwa na wabunge wanaamua kumvunja ngumu? Tuna viongozi wanafiki sana mimi sijaona Makonda kakosea wapi na hapaswi kwenda kuhojiwa bungeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.