Jana gazeti la mtanzania lilifanya baadhi ya watu kupoteza pesa zao kuperuz kwenye mitandao mbalimbal kwa kile kilichodaiwa kuandika SERIKALI YAMWAGA AJIRA KWA WALIMU basi wadau wengi waliangaika bila mafanikio.je kwanini gazeti hilo lilitoa taarifa pindi majina ya walimu hao bado kutolewa?ni...
Mkiwa vyuoni mnajifanya mko juu sana,msisome kozi kwa mkumbo na kudharau wanaosoma ualimu,unaona sasa na bado utakaa bench mpaka bac.wenzako mwezi huu wanaajiliwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.