Recent content by NYANGESON

  1. N

    Mke wangu alinifanya niwe Mchawi -1

    Tunakusubiri mkuu uc2fanyie kama yule afande
  2. N

    Magazeti ya bongo bwana!

    Jana gazeti la mtanzania lilifanya baadhi ya watu kupoteza pesa zao kuperuz kwenye mitandao mbalimbal kwa kile kilichodaiwa kuandika SERIKALI YAMWAGA AJIRA KWA WALIMU basi wadau wengi waliangaika bila mafanikio.je kwanini gazeti hilo lilitoa taarifa pindi majina ya walimu hao bado kutolewa?ni...
  3. N

    Walioongoza mitihani ya Darasa la saba hawa hapa!

    Usishangae wanaanda maandamano,na hv kesho ijuma.
  4. N

    Walioongoza mitihani ya Darasa la saba hawa hapa!

    We vp,kama ndo waliofaulu afanyeje sasa,acha udini wewe na mtaishia hivyo,wenzenu wanasonga mbele.
  5. N

    Yule dogo aliyekojolea quran aachiwa huru

    Hiyo ilikuwa wazi,dogo hana makosa,kwanin walimpa hiyo quran
  6. N

    Hivi ni Kweli Wizara Haijaweka majina ya walioajiriwa Kwa Mtandao?

    Hazijatoka bwana.tulia! zinatoka mwishoni mwa wiki ijayo.
  7. N

    Vijana wetu wanafanya nini vyio vikuu ???

    Elimu sio kiingereza hiyo ni lugha tu. Tumeona wachina wengi ni mainjinia lakini hawajui kiingereza.je hiyo sio elimu?
  8. N

    Ajira za walimu:siku kuhesabiwa.

    Mwisilamu wa kwel hua sio muongo
  9. N

    Ajira za walimu:siku kuhesabiwa.

    Hayakuhusu bibiye hizo cku huesabiwi wewe,watu wengine bwana.
  10. N

    Ajira za walimu:siku kuhesabiwa.

    Mwishon mwa wiki ijayo kitu out
  11. N

    Natafuta kazi ya ualimu masomo ya sanaa

    Mkiwa vyuoni mnajifanya mko juu sana,msisome kozi kwa mkumbo na kudharau wanaosoma ualimu,unaona sasa na bado utakaa bench mpaka bac.wenzako mwezi huu wanaajiliwa.
  12. N

    TANZIA Msanii Sajuki afariki dunia

    Polen sana ndugu na jamaa waigizaji wote wa filamu.
Back
Top Bottom