Recent content by nyanda mhangwa

  1. nyanda mhangwa

    Magufuli: Kuna mtu alikuwa anahamisha kati ya Tsh milioni 7-8 kila dakika. Yuko mikono salama...

    [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] UMETISHA AAAA
  2. nyanda mhangwa

    Magufuli: Kuna mtu alikuwa anahamisha kati ya Tsh milioni 7-8 kila dakika. Yuko mikono salama...

    MAELEZO YAKO KAMA HUJAKOSEA UMENIKUNA yaani nimekuelewa sana
  3. nyanda mhangwa

    Hongera Rais Magufuli kwa kutupa somo la leo kuwa "Mbwa ukimjua jina Hakupi Tabu''

    Jibu ulivyo ulizwa, kama katiba haijapitishwa ulitakaje?
  4. nyanda mhangwa

    Habari leo: Mbowe, Makonda waongea, na mifugo ikatwe kodi!

    Huu nao ni upumbavu katika ubora wake,HIVI WATENDAJI WA SERIKALI WANFANYE NN ILI ROHO ZENU ZILIZIKE? mara ooooh mkuu wa mkoa ni observer tuuuu!!!unataka hayo anayosimamia afanye nani???diwani, meya mkurugenzi wa jj , mhandisi au nani?? Afanye kazi ili roho zenu zilizike. POOR THINKING MY...
  5. nyanda mhangwa

    Nini maana ya 'kupandishwa cheo' kwa watuhumiwa wa ujambazi?

    Wewe Ndo wanakuitaga msomi( great thinker)? Maandiko yako haya na maana ungenyamaza tu, (shallow)
  6. nyanda mhangwa

    Rais Magufuli ashangazwa na Mstahiki Meya wa Kinondoni Boniface Jacob kutohudhuria Biafra

    Ww jamaa unanifrahishaga sana na mawazo yako, yaani siku zote hueleweki upo upande gani!!! [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
  7. nyanda mhangwa

    Kodi ya Asilimia 10: Kwa kila Tshs 1,000 ya kwenye Miamala, tshs 280 ni za TRA kuanzia Julai mosi

    SAWA, WENGI TUNATARAJIA ONGEZEKO KWENYE MAKATO. HEBU ELEZEA HIYO 38. 88% INATOKA WAPI KAMA KAMA SERIKALI IMEELEZA ITAKATA 10% KWENYE KILA MUAMALA +VAT AMBAYO NI 18%. KAMA WW SIYO MUONGO?
  8. nyanda mhangwa

    Natamani kusoma chuo cha kilimo

    Ok, mkuu tofauti na KILIMO nnaweza apply course zipi nzuri kulingana na matokeo yangu
  9. nyanda mhangwa

    Natamani kusoma chuo cha kilimo

    Physics nna D, na chemistry c
  10. nyanda mhangwa

    Natamani kusoma chuo cha kilimo

    Wanabodi mimi kijana 30 yrs. Nilimaliza o-level 2008 nikapata division 4 ya 28. Sasa nilikuwa natamani kusoma certificate ya kilimo na kuendelea. Tatizo sijajua sifa zinazotakiwa maana kwenye cheti changu kuna F mbili za biology na kiswahili.
  11. nyanda mhangwa

    Mpenzi wangu hanitaki

    Nimekuelewa mkuu
  12. nyanda mhangwa

    Mchumba wangu ameamua tuachane

    Mkuu umri nao umeshakwenda shule tena? Bt ni wazo zurii mkuu
  13. nyanda mhangwa

    Mchumba wangu ameamua tuachane

    Mkuu sijakuelewa
  14. nyanda mhangwa

    Mpenzi wangu hanitaki

    Hataki kwa sababu nilikaa kmya kwa miezi 2 bila kumtafuta, ww akawa amekata shauri la kuachana na ametafuta huko huko mwanaume mwingine bila kutafuta soln ya tatizo.
Back
Top Bottom