Recent content by nyanda madirisha

  1. N

    JamiiForums Tanzania Hakuna "Mimi" Wala "Wewe": Spiritual awakening(non-duality)

    Goja nianze na hii
  2. N

    JamiiForums Tanzania Hakuna "Mimi" Wala "Wewe": Spiritual awakening(non-duality)

    Mkuu Naomba unifahamaishe vizuri hii na kam kuna vitabu vya kusoma naomba unicheki na PM
  3. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Elevation

    Vijana tusome kwa sauti ya pamoja tena kwa nguvu sana kisha tuelewe na tuishi na hili tena kwa usirous mno
  4. N

    JamiiForums Tanzania Bashite kufunga namba za Serikali kwenye magari binafsi, hii imekaaje?

    Tight whip hiyo 504 boys dah hatari sana
  5. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa watu wa Kanda Ya Ziwa na Tabora "Wasukuma Thread"

    Anaitwa nani nikamtafute mkuu?
  6. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa watu wa Kanda Ya Ziwa na Tabora "Wasukuma Thread"

    Ngwananyanza ni mtala upi? Nsusi,ngika,nzubha au mmanga?
  7. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa watu wa Kanda Ya Ziwa na Tabora "Wasukuma Thread"

    Mimi msukuma mwenzenu ninashida na zile nyimbo za zamani za kisukuma Malenga kama .tagala,mhembo,mgote,basu,nkuli,ngw'anagandila,masasi,inaga,myeye,sumbi,mwanikome kwa mwenye nazo anipm tuyajenge
  8. N

    JamiiForums Tanzania Jioni hii nimefungua Facebook karibu marafiki 19 wamepoteza wapendwa wao. Kila sehemu RIP

    Siyo jambo la ajabu mkuu kwasababu kifo ni ahadi
  9. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utofauti mkubwa wa umri na dini

    Usicheke mkuu
  10. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utofauti mkubwa wa umri na dini

    Shukrani
  11. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utofauti mkubwa wa umri na dini

    Mkuuu shikamoo nimesoma mara 10 nikalia sana sana mwambie azingatie hiyo sentence kwa umakini mkubwa sanaaaa maaana atakuja kulia kama mimi
  12. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Toka ulivyoanza kubeti Umepoteza kiasi Gani Cha fedha na umepata kiasi Gani mpaka sasa

    nabet slip moja kwa siku ambayo od ni 1.5_1.9 hata kama nikiliwa sibeti tena na kingne mtaji slip moja naweza pesa nying
  13. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Toka ulivyoanza kubeti Umepoteza kiasi Gani Cha fedha na umepata kiasi Gani mpaka sasa

    Toka nianze mpka leo nimetumi 235600 jumla na makato ya mtandao kwa maana ya kuweka hela kwenye spesa nimepata 12,000,000 Rasimi 13/8/2019
  14. N

    JamiiForums Tanzania TMA yatahadhalisha kuwepo mvua kubwa mikoa 20

    Huku pwani ni balaa imeanza saa 10
  15. N

    JamiiForums Tanzania Kwa mil. 20 naweza kujenga nyumba ya vyumba vitatu Dar?

    Vyumba 3 sebule na jiko Msingi tofali 1500=1,500,000 Cement 30= 480000 Nondo 20=440000 Kokoto 2m³= 180000 Mchanga 5m³=170000 Mbao za kukodi makadilio 60= 120000(kuna za kununua pia hapa) Ring beam 200= 100000 Bining wire5kg =15000 KIfusi makadilio ya 500000(inategemea unapata wapi na bei zikoje...
Back
Top Bottom