Picha linaanza mpenzi kaniaga anaenda kwa dada yake(kwamba anaumwa na mume wake yuko safariji so akamasaidie kwa siku 2,3) nikamruhusu bila shida mida ya saa 9 alasiri binti akaondoka.
Usiku kama saa 3 nikapiga akakata akaniandikia ujumbe kuwa wametembelewa na majirani so siyo ungwana kuongea...
inakwaza kwelinkweli napokea simu mfululizo kutoka kwa jamaa yangu anataka 200000 kama mchango wangu kwake
Nimeuliza budget ya harusi yake anasema milion 9 wewe una shingapi ana m 2 yaan 7 m zitoke kwa watu wengne
Mimi msukuma mwenzenu ninashida na zile nyimbo za zamani za kisukuma
Malenga kama .tagala,mhembo,mgote,basu,nkuli,ngw'anagandila,masasi,inaga,myeye,sumbi,mwanikome kwa mwenye nazo anipm tuyajenge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.