Haahaa haha,ndugu yangu endelea kusubiri kushindwa kwa CDM,utashindwa ww na dhoruba zako,usiwatukane wamachinga,hayo mashule yasiyo na walimu wala vifaa,,,au watasubiri ndugu yao first lady akawafundishe? hata ukisema kuna barabara watafundishwa nazo?kutibiwa je.:A S 12: