Haya mapigano yanayoendelea nchini ni hatari kwa vizazi vijavyo,viongozi husika hawaoni wafugaji na wakulima huko pwani walivyo na mvurugano?wafugaji wamekuwa wakimbizi nchini mwao na hivi sasa wanaishi kwa kuwindwa,hivi kweli wafugaji wote wakigoma kuuza mifugo yao mtaagiza toka nje ya nchi?