MCHUMIPESA
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,088
- 257
Ungekuwa una heshima usingejiingiza kwenye uzinifu nje ya ndoa. Vuna ulichopanda.
Ni ushauri au matusi?.Cjakuelewa!
Ungekuwa una heshima usingejiingiza kwenye uzinifu nje ya ndoa. Vuna ulichopanda.
Demu wangu kapata mimba kwa sasa ana wiki mbili na hahitaji kuzaa kwa sasa
NB.Kwa wale wanaopenda kujibu kwa matusi sihitaji ni bora wakaendelea na thread zingne na siyo KUNITUKANA.Pliz pliz matusi sitaki nataka USHAURI WAKO TU.ASANTENI
jamani hata ingekuwa ni siku moja hicho tayari ni kiumbe na kina haki ya kuishi, kama mlikuwa hamna mpango wa kuzaa kwanini hamkutumia kinga au hata kalenda jamani, muacheni huyo mtoto ana haki ya kuishi mwe, usimshauri mwenzako kutoa siku atakapomshika mtoto mikononi ndo atajua uzuri wa mtoto, mkitoa anaweza kuja tafuta akamkosa ikawa majuto
jaribu wakutoe makende kwanza wewe ndio ujue madhara ya kutoa mimba
Aaaaah KIFULAMBUTE mambo gani tena hayo!:evil:
Napenda kukupa hongela kwa kitendo hicho mshukulu mungu wenzio tunatamani kuwa na watoto tazama nimekaa kwenye ndoa miaka 3 na bado sijafanikiwa nimehangaika sana sijabahatika nakuomba vuta wazo lako kama wewe unauwezo wa kuishi na ukawa na malengo basi huta shindwa kulea mimba usimuhalibie mwenzio maisha ebu fikilia km uzao wako ni mtoto moja tena ndo huyo we fanya tu adhabu yake utakuja ipata itafikia kipindi unataka mtoto na hutapata hata kama hauna malengo ya kuja kumuoa we lea huo ujauzito hakuna hata moja atakae kunga huo utumbo wake.mi nataman angekuwa mk wng ningefulah usifanye hivyo kuwa na huluma sawa huyo mwanamke humtaki je nae mwanao.usizembe watu tunashida na watoto
Katoe mbona bado ndogo sana hiyo haina madhara.
Ukweli ni kwamba wengi wanao kusha huri hapa hawata kuwapo hapo maisha yatakapo kuwa yanakuendea kombo kwa kukimbilia majukumu wakati hukuwa tayari kwa hayo.
maisha hayatabiriki ndugu yangu unaweza ukajipanga na kesho ukarudi kwenye msoto kama kawa.Katoe mbona bado ndogo sana hiyo haina madhara.
Ukweli ni kwamba wengi wanao kusha huri hapa hawata kuwapo hapo maisha yatakapo kuwa yanakuendea kombo kwa kukimbilia majukumu wakati hukuwa tayari kwa hayo.
Ndugu huyo shetani aliyekushika hebu mkemee,mwenzio nilihangaika ndani ya ndoa karibu miaka mitano bila mimba wala kichefuchefu,baada ya kutembea huku na kule na maombi Mungu akanisikia,nilijifungua HIVI KARIBUNI 2012 baby boy lakini alifariki muda mfupi kabla ya kuzaliwa.Nikarudi kukosa tena.Sijui kama umenipata hapo,natamani kukutoa hiyo roho ila siwezi,hebu kuwa na huruma na hicho kiumbe,usiangalie starehe zenu,huyo mkweo atakuwa na raha na ww akigunua unyama huu.THINK TWICE
maisha hayatabiriki ndugu yangu unaweza ukajipanga na kesho ukarudi kwenye msoto kama kawa.
basi wale wa vijijini wasingezaa watoto mana maisha yao ni magumu sana.