Sijatabiri, this is my dream (ndoto).
Nimekuwa mtu ninayepinga ukuaji wa umaarufu na kukubalka kwa chadema kutokana na udhaifu wa chama tawala.
Nimekuwa nikijaribu kuishawishi chadema kuwashawishi vijana hata kama chama tawala kitatekeleza matakwa na matarajio ya watanzania kupitia uenezi wa sera na mwelekeo.
Ninawaza siku Vijana wa kitanzania watakapowageuka chadema na viongozi wake.
1. Ulitaka niongelee yapi? Au unanifundisha cha kuongea?
2. Inasikitisha au inahamasisha jitihada zaidi?
3. Hayafai kwa nini?
4.Define why this you think (may be b'se of your dwarf mind) is a bogus news.[/QUOTE]
Ndio nini hiyo nyeusi?
Nimekuwa mtu ninayepinga ukuaji wa umaarufu na kukubalka kwa chadema kutokana na udhaifu wa chama tawala.
Nimekuwa nikijaribu kuishawishi chadema kuwashawishi vijana hata kama chama tawala kitatekeleza matakwa na matarajio ya watanzania kupitia uenezi wa sera na mwelekeo.
Ninawaza siku Vijana wa kitanzania watakapowageuka chadema na viongozi wake.
Hapo kwenye nyekundu WENGI NI WAFUATA MKUMBO, wakighafilika kutokana na madhila yaliyoletwa na ccm pasi kujua hata mwelekeo na katba ya chadema
1. Ulitaka niongelee yapi? Au unanifundisha cha kuongea?
2. Inasikitisha au inahamasisha jitihada zaidi?
3. Hayafai kwa nini?
4. Define why this you think (may be b'se of your dwarf mind) is a bogus news.
Nimekuwa mtu ninayepinga ukuaji wa umaarufu na kukubalka kwa chadema kutokana na udhaifu wa chama tawala.
Nimekuwa nikijaribu kuishawishi chadema kuwashawishi vijana hata kama chama tawala kitatekeleza matakwa na matarajio ya watanzania kupitia uenezi wa sera na mwelekeo.
Ninawaza siku Vijana wa kitanzania watakapowageuka chadema na viongozi wake.
Mkuu leroy kuna hoja ya msingi hapa.
Vijana huwa wana mategemeo makubwa. Kumbukumbu zinaonyesha kwamba vijana walikuwa wakishangilia sana wakati Rais JK anaingia madarakani. Walimpigia kura wakidhani sasa ni wakati wa vijana kutesa, waliona vijiwe sasa kwaheri wanaenda kupata wote kazi njema zinazolipa huko maofisini.
JK alianza kwa kutembelea wizara na kuna muda alikuwa anatembea toka wizara moja kwenda nyingine akiwa analakiwa kwa nderemo na vifijo vya vijana waliokuwa wakijipanga kumuona mkombozi wao. Baada ya kuona matokeo si sawa na matarajio yao basi wamejikita CDM wakitegemea hali bora toka huko.
Hakika CDM ina vijana kila kona na wote wanaitimbulia macho CDM iingie ikulu iwaokoe na hali duni. Hivyo CDM kama hawatafikia matarajio ya vij
BWANA MDOGO TAFADHALI KUWA HURU KIMAWAZO,HATA KAMA UTAKUWA MLEI WA CHAMA FULANI HUNA BUDI KUFANYA UCHAMBUZI WA MASUALA MBALIMBALI KUHUSU CHAMA CHAKO.USIJE KUPENDA KITU BILA KUKIJUA VIZURI MAANA KUFANYA HIVYO NI SAWA NA KUJISHONEA SANDA NA KUJICHIMBIA KABURI
Nimekuwa mtu ninayepinga ukuaji wa umaarufu na kukubalka kwa chadema kutokana na udhaifu wa chama tawala.
Nimekuwa nikijaribu kuishawishi chadema kuwashawishi vijana hata kama chama tawala kitatekeleza matakwa na matarajio ya watanzania kupitia uenezi wa sera na mwelekeo.
Ninawaza siku Vijana wa kitanzania watakapowageuka chadema na viongozi wake.
Nimekuwa mtu ninayepinga ukuaji wa umaarufu na kukubalka kwa chadema kutokana na udhaifu wa chama tawala.
Nimekuwa nikijaribu kuishawishi chadema kuwashawishi vijana hata kama chama tawala kitatekeleza matakwa na matarajio ya watanzania kupitia uenezi wa sera na mwelekeo.
Ninawaza siku Vijana wa kitanzania watakapowageuka chadema na viongozi wake.
Mkuu leroy kuna hoja ya msingi hapa.
Vijana huwa wana mategemeo makubwa. Kumbukumbu zinaonyesha kwamba vijana walikuwa wakishangilia sana wakati Rais JK anaingia madarakani. Walimpigia kura wakidhani sasa ni wakati wa vijana kutesa, waliona vijiwe sasa kwaheri wanaenda kupata wote kazi njema zinazolipa huko maofisini.
JK alianza kwa kutembelea wizara na kuna muda alikuwa anatembea toka wizara moja kwenda nyingine akiwa analakiwa kwa nderemo na vifijo vya vijana waliokuwa wakijipanga kumuona mkombozi wao. Baada ya kuona matokeo si sawa na matarajio yao basi wamejikita CDM wakitegemea hali bora toka huko.
Hakika CDM ina vijana kila kona na wote wanaitimbulia macho CDM iingie ikulu iwaokoe na hali duni. Hivyo CDM kama hawatafikia matarajio ya vijana basi vijana hao hao ndio watawageuka tena na kutafuta mbadala. CDM inabidi ijipange kutekeleza matarajio ya vijana