Recent content by nyamujulemukama

  1. N

    RPC Dodoma kadhalilisha Jeshi la Polisi

    Duh sasa huo ni ushauri mnaotoa au mnatukana, jenga hoja yako vizuri kama unaona kunatatizo kiutendaji yumkini atasoma naye atatathimini.
  2. N

    Nini Kimeikumba UDSM? Universities bora afrika 2018

    Vigezo ni vipi natamani kuvijua hapo ndo naweza ku comment.
  3. N

    Ushahidi wa wazi huu hapa, Biko,Tatumzuka na Mojabet ni wezi wa kutupwa

    Mchezo huu ni bahati nasibu na uko kisheria wamesajiriwa kihalali. Ni biashara na wanalipa kodi, kucheza sio lazima na ni wengi waliwe wapate faida na nyingine kidogo wairudishe kwa watu kwa mfumo wa kushinda. Achia ngazi tu ndugu yangu kuliko kuendelea ku bet utaliwa mpaka ushangae.
  4. N

    Mheshimiwa Rais Magufuli wastaafu tunateseka hatujapata mafao yetu

    Inawezekana Mkuu wa Nchi hajapata taarifa hizi, akisikia atawashughulikia wanaokuzungusha ikiwa hawana sababu ya msingi. Endelea kutoa kilio utafanikiwa siku moja.
  5. N

    Naomba kuelimishwa kuhusu masuala ya salute kati ya Jeshi na Polisi

    Duh hii mada haijapata jibu sahihi. Anayefahamu sheria au kanuni au mwongozo juu ya Salute ndiye atakuwa msemakweli otherwise ni kubwabwaja tu. Na hii inatoa picha kuwa huko majeshini jambo hili halifundishwi ki ufasaha ndio maana wote tumeshindwa hata wanajeshi na polisi hawana uhakika. Lakini...
  6. N

    Nukuu yenye akili toka kwa mtu mashuhuri, Oprah Winfrey

    Haya ndio maneno ya watu wenye busara na akili.., nimeipenda.
  7. N

    Kanisa Katoliki lagoma kumzika bilionea wa Ngurudoto

    Eeh hukumu ya Mungu, acheni madhehebu na kanuni zao duniani. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. N

    Nimepata mchumba Mrina bar, ni kweli mwanamke anaejiuza anaweza kubadilika tabia na kuwa mke mwema?

    Binadamu anabadilika akiamua, mi nasema anaweza badilika na huyo si wa kwanza shuhuda zipo nyingi wewe fanya kweli kama umedhamilia kaka. Hakuna soko la kupata mke Duniani hapa, popote wawezapata mke.
  9. N

    Kibwagizo; Mungu ailaze Roho ya marehemu mahala pema peponi. Usahihi ni upi?

    Kumuomba Mola kwa style hiyo sio vibaya hata kama hatuna uhakika. Mhubiri 3:19-21 hakuna ajuaye ni siri yake Mungu.
  10. N

    Nataka nikatafute maisha Rwanda, naomba ushauri kwa wenye uzoefu tafadhali

    Kabwigwa usidanganye watanzania eti Rwanda life is so cheap, nasema big no, hali ya maisha ngumu sana ni bora kukomaa hapa bongo. Mi pia nimeenda sana Rwanda, Burundi, Uganda, kenya, malawi na zambia. Ni afadhali uganda.
  11. N

    Kwa mliowahi kwenda scoan au kwa TB Joshua hii ni halali au nimetapeliwa

    ChiefSAM wakwako ni nabii mtakatifu ila kwa mwenzio ni nabii fake echeni biasness jamani.
  12. N

    Naenda Arusha

    Tahmeed wana ofisi wapi jamani kama sio kwenda pale ubungo na kudakwa na wapiga debe, nenda kilimanjaro hapo shekilango kapande luxury nauli sh 36,000.
  13. N

    Dotto Bulendu, chagua kwa umakini watu wa kuwaalika katika mijadala ya Jicho letu

    Bulendu anabalance kipindi ili kinoge, big up Bulendu.
  14. N

    Tuongee Leo Asubuhi Star Tv ni aibu

    Pascal Mayala kachambua mada vizuri sana, tuache siasa. Brother Mayala usikatishwe tamaa na hao, ukialikwa na Star tv kwenye hicho kipindi nenda kifua mbele usaidie kutuelimisha watanzania, uko vizuri aisee maana kutoa ufafanuzi in public tena live kwenye Tv au Radio sio mchezo ni wachache...
  15. N

    Kero: Nimechoka hizi SMS za Vodacom

    Hata mi zinanichosha hizo message zao voda.
Back
Top Bottom